tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,482
Sahau kina pele na maradona Ronaldinho ni kitu kingine,weka mbali takataka kama messi na christiano.Kwenye historia ya mpira ushawahi kumwona nani bonge la shuti katuliza kwa mgongo na ikakaa?
Mwambie muhudumu akupe kingine ulichotumia,bill kwangu
waache pele na maradona, ronadhino hamfikii zidane kabisa, ninajua ninachozungumza
zidane mpira wenyewe ulikuwa unamuheshimu!yaani ukiupiga mpira ukiwa unadundadunda kumpelekea zidane mpira ukifika kwa zidane unatulia wenyewe kabla zidane hajautuliza!!!
Sahau kina pele na maradona Ronaldinho ni kitu kingine,weka mbali takataka kama messi na christiano.Kwenye historia ya mpira ushawahi kumwona nani bonge la shuti katuliza kwa mgongo na ikakaa?
Mwambie muhudumu akupe kingine ulichotumia,bill kwangu
zidane mpira wenyewe ulikuwa unamuheshimu!yaani ukiupiga mpira ukiwa unadundadunda kumpelekea zidane mpira ukifika kwa zidane unatulia wenyewe kabla zidane hajautuliza!!!
daah kaka zizzou alikuwa balaa, aliwazungusha kaka na dhino brazil vs france kwenye world cup ,yule jamaa ni noma saana
nawapanga mafundi wa mpira kwa mtiririko...
1.pele
2.maradona
3.gaucho
4.zinedine
5.ronaldo de lima
6.austin okocha
7.cr7
8.messi
9.zlatan ibrahimovic
10.figo