Probox na IST ukaweka spacers ipi itakua juu zaidi ?Tatizo vipo chini mno hata ukitumia tairi size kubwa Kuna baadhi ya mashimo au kwenye mawe inagonga
Hiyo nayo ni ngumu sana, kuna ya mzee mmoja huwa naiosha anayo toka mwaka 88. Huyu mzee nahisi ndio mzee GrahamsRav 4 old model vipi😀😀
Iko vizuri, tofauti yake ni Mkuu,probox vs succeedNikiona hizi gari zinavyopiga routes kule kijijini kwetu kwa muda mrefu na bado vinapumua tu fresh, aisee sioni vitz, spacio, ist kuifikia level yake.
Inaweza kuwa gari isio na comfortability ila durability iko mwake.
Labda ni mihemuko yangu, watalaam waongee pia.
Hahaha.............hizo Toyota RAV4 zimeanza kuingia Nchini miaka ya 2000Hiyo nayo ni ngumu sana, kuna ya mzee mmoja huwa naiosha anayo toka mwaka 88. Huyu mzee nahisi ndio mzee Grahams
Probox ni gari inaitwa mchomokoNikiona hizi gari zinavyopiga routes kule kijijini kwetu kwa muda mrefu na bado vinapumua tu fresh, aisee sioni vitz, spacio, ist kuifikia level yake.
Inaweza kuwa gari isio na comfortability ila durability iko mwake.
Labda ni mihemuko yangu, watalaam waongee pia.
Sehemu ngumu inapopita IST probox haipitiProbox na IST ukaweka spacers ipi itakua juu zaidi ?
nilishawahi kukakimbiza siku moja maeneo ya nyakanazi, sikukakuta. yule dereva nadhani anavuta bange.Kule Instagram kuna jamaa wanaitwa eastcar walitest probox ikiwa imebeba mzigo na ikiwa haijabeba...... matokeo ilionekana probox ikiwa imebeba mzigo mafuta yanatumika vizuri Sana pia inakuwa inachapa Sana mwendo
unacar wash mzee tujuane mapema..Hiyo nayo ni ngumu sana, kuna ya mzee mmoja huwa naiosha anayo toka mwaka 88. Huyu mzee nahisi ndio mzee Grahams
Jamaa wanavitembeza hatar,afu nashangaa huwa hawaangukinilishawahi kukakimbiza siku moja maeneo ya nyakanazi, sikukakuta. yule dereva nadhani anavuta bange.