Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Probix zile za Zamani 2010 kushuka Zina handle ( wanaita hendeli kama fuso😀) power windows, sijajua za mbele ila succeed Ina automatic power windows....Iko vizuri, tofauti yake ni Mkuu,probox vs succeed
Wewe ilikuwa unaendesha gari?nilishawahi kukakimbiza siku moja maeneo ya nyakanazi, sikukakuta. yule dereva nadhani anavuta bange.
Ni kibarua carwash mkuuunacar wash mzee tujuane mapema..
Kwahyo nimewalisha matango pori sio 😂Hahaha.............hizo Toyota RAV4 zimeanza kuingia Nchini miaka ya 2000
Miaka ya 78 hadi 90 tulikuwa tunatamba na Toyota 110 (One Ten) gari zilikuwa na nguvu na imara sana 👊🤗
Hahaha.........kama unajua kuendesha manual cars nitakuletea weekend moja uliendeshe 🤗Kwahyo nimewalisha matango pori sio 😂
Utaileta huku porini nilipo babu?Hahaha.........kama unajua kuendesha manual cars nitakuletea weekend moja uliendeshe 🤗
Succeed zipo automaticHahaha.........kama unajua kuendesha manual cars nitakuletea weekend moja uliendeshe 🤗
Hiyo ndo yenyeweRav 4 old model vipi😀😀
Toyota 110? Ni ipi hiyo?Hahaha.............hizo Toyota RAV4 zimeanza kuingia Nchini miaka ya 2000
Miaka ya 78 hadi 90 tulikuwa tunatamba na Toyota 110 (One Ten) gari zilikuwa na nguvu na imara sana 👊🤗
Gari ya kazi,kinatufaa sana sisi wastaafu,unapiga nacho kazi mchana kutwa jioni unaenda kutegesha Kariakoo ile mida ya nyomi unakula vichwa...Nikiona hizi gari zinavyopiga routes kule kijijini kwetu kwa muda mrefu na bado vinapumua tu fresh, aisee sioni vitz, spacio, ist kuifikia level yake.
Inaweza kuwa gari isio na comfortability ila durability iko mwake.
Labda ni mihemuko yangu, watalaam waongee pia.
Alisema yeye mimi sikuchunguzaMmmmmmmmmn we jamaa mwaka 1988 aliitoa wapi hii gari ya miaka ya 2000?🤔
Haka ka probox kalisababisha kifo cha ndugu yangu kati ya wale TRA.Nikiona hizi gari zinavyopiga routes kule kijijini kwetu kwa muda mrefu na bado vinapumua tu fresh, aisee sioni vitz, spacio, ist kuifikia level yake.
Inaweza kuwa gari isio na comfortability ila durability iko mwake.
Labda ni mihemuko yangu, watalaam waongee pia.
Kawaida tu dogo
Uko Sahihi ist, spacio, vitz ni mayai na probox ni chuma Cha pua.Nikiona hizi gari zinavyopiga routes kule kijijini kwetu kwa muda mrefu na bado vinapumua tu fresh, aisee sioni vitz, spacio, ist kuifikia level yake.
Inaweza kuwa gari isio na comfortability ila durability iko mwake.
Labda ni mihemuko yangu, watalaam waongee pia.
Huu Ni uongo.Rav 4 imeanza kutengenezwa mwaka 1994.Hiyo nayo ni ngumu sana, kuna ya mzee mmoja huwa naiosha anayo toka mwaka 88. Huyu mzee nahisi ndio mzee Grahams