kuku wa kienyeji..."wako akiwa kwako, akitoka si wako!"
Akitoka ni wa JAMII
Rocky hukumbuki kuwa kuku wa kienyeji hafungiwi ndani?CPU una utani wa ngumi kabisa weweKw ahiyo nimfuge aistoke au nifanyeje mkuu
Rocky hukumbuki kuwa kuku wa kienyeji hafungiwi ndani?
Ndo ikubalike kwamba mke ni wako unapokuwa nae, ukienda kukojoa yeye anapata ladha nyingine.Sasa First Born kama ndo ninaye ndani sasa nifanyeje mkuu maana kumuacha naogopa atakutana na jogoo wa jirani kumfunga ndio siwezi maana hafai kufuga
Ndo ikubalike kwamba mke ni wako unapokuwa nae, ukienda kukojoa yeye anapata ladha nyingine.
Weeee.....watu WANAJUANA mpaka ndoa inapofungwa ndo mmoja anagundua kwamba hamjui mwenzake hata chembe.Makucha yanakatwa....mengine yanafichwa.
Ndo ikubalike kwamba mke ni wako unapokuwa nae, ukienda kukojoa yeye anapata ladha nyingine.
Mkuu utanifanya niweke alarm pale kwenye ile kitu akitoka tuu nje alarm inalia
ikiwezekana alarm iwekwe kwa kitu ingine ya ME
Kuna maana kumvalisha yule mwenye malengo sawa na wewe tu...zaidi ya hapo ni kudanganyana.
Mchongi hiyo process ya kujua kwanini mtu anataka kuolewa inatakiwa ianze tangu hata hamjawa wapenzi ili akikwambia akwambie ukweli bila hofu sababu wewe ni rafiki tu..kuna thread niliandikaga ngoja nikutafutie linksasa huyo mwenye malengo unamjuaje,. Lizzy toa uzoefu hapo
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/101189-dondoo-za-mapenzi-6.html#post2226247sasa huyo mwenye malengo unamjuaje,. Lizzy toa uzoefu hapo