Ingekua vizuri mitani ya UE Vyuo Vikuu iwe inatungwa na kusahihishwa na TCU

Ingekua vizuri mitani ya UE Vyuo Vikuu iwe inatungwa na kusahihishwa na TCU

Solution kusiwe na mitihani ya eu coz work tu zinatosha tatizo bongo complication nyingi level ya chuo kikuu mwanafunzi anafundishwa kazi sio kujibu mitihani. lengo la chuo ni zile practicals ziwe nyingi na presentations problem solving basi sasa unakuta mwanafunzi yuko stressed balaa na mitihani.
Best comment of the thread.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba rejea kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu.

Kama tunavyojua kuna baadhi ya vyuo hapa Tanzania vimekua vikigawa ufaulu wa bure kwa wanafunzi wao na kuwafanya waonekane wamefaulu sana na kuhitimu na ma GPA makubwa ambayo hayaendani na uwezo walionao kichwani.

Pia kuna baadhi ya wanafunzi wamekua wakitoa rushwa ili tu wafaulu vizuri katika mitihani yao. Hivyo kumekua na udanganyifu katika baadhi ya matokeo ya wanafunzi wa vyuo vikuu.

Hivyo basi ili kuondoa matatizo haya pamoja na kuleta usawa katika ufaulu mchakato mzima wa kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani ya mwisho wangekabidhiwa TCU.

Poleni wana vyuo vya kata kwa huu uzi, ndio umefika hivyo.
Yuhavu a pointi mkuu
 
Mkuu hapa umedanganya umma kabisa.

Ukweli ni kwamba;
Dissertation/Thesis huwa inasahihishwa na watu wawili 1. internal examiner (huyu ni mwalimu wa hapo hapo ndani ya idara), 2. External examiner (huyu huwa ni wa chuo cha nje).
Marks za external examiner huwa zinapewa uzito, hasa ikitokea hawa examiners wawili wakatofautiana katika grades walizotoa. Na mara nyingi kama sio mara zote marks ya external ndio huwa inachukuliwa.
Mkuu dissertation husaishwa na vyuo Cha ndani na nje ila matokeo ya wa chuo Cha nje udsm huwa hawataki kwahyo internal examiner ka analakukukomoa ndio sehemu yao. Hyo ya mark's ya nje hawakupi wanakupa marks ndogo ya wa ndani.
 
Vyuo vikuu ni eneo la kuzalisha first class professionals. Sasa kwa huu mtazamo wako ni kama unasema sasa vyuo vikuu viwe na mtaala mmoja unaofanana kitu ambacho kikifanyika maana ya University haipo tena kwa maana ya kwamba hii itadidimiza ugunduzi na uzalishaji wa maarifa mapya kwa wanafunzi. Pili, kwa vyuo vingi, nafikiri mitihani ina michakato kuanzia ile ya ndani mpaka ya nje ambayo haitoi mwanya hata kidogo kwa mwalimu kumuonea mwanafunzi. Hoja hii ya kwamba waalimu wanawaonea ama kuwapendelea wanafunzi inatolewa na wanafunzi wenye udhaifu ama mapungufu fulani fulani. Mitihani ya vyuo vikuu hupitia michakato mingi, kuanzia kwa moderators, exerminers boards, watahini huru wa ndani na baadaye watahini huru kutoka nje ya nchi. Hawa wote huangalia ubora wa mtihani na usahihishaji wa mtihani wa mwanafunzi mmoja hadi mwingine. Kwa namna hii, hii hoja ya mwalimu kumkosesha mwanafunzi kwa sababu tu ana kisa naye hukosa nguvu kabisa.
Naomba rejea kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu.

Kama tunavyojua kuna baadhi ya vyuo hapa Tanzania vimekua vikigawa ufaulu wa bure kwa wanafunzi wao na kuwafanya waonekane wamefaulu sana na kuhitimu na ma GPA makubwa ambayo hayaendani na uwezo walionao kichwani.

Pia kuna baadhi ya wanafunzi wamekua wakitoa rushwa ili tu wafaulu vizuri katika mitihani yao. Hivyo kumekua na udanganyifu katika baadhi ya matokeo ya wanafunzi wa vyuo vikuu.

Hivyo basi ili kuondoa matatizo haya pamoja na kuleta usawa katika ufaulu mchakato mzima wa kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani ya mwisho wangekabidhiwa TCU.

Poleni wana vyuo vya kata kwa huu uzi, ndio umefika hivyo.
 
sasa kama ni hivyo kwanini mwanafunzi wa chuo fulani apate ufaulu mkubwa ambao hauendani na uwezo wake. Yaani mwanafunzi ana first class alafu kichwani zero.
Vyuo vikuu ni eneo la kuzalisha first class professionals. Sasa kwa huu mtazamo wako ni kama unasema sasa vyuo vikuu viwe na mtaala mmoja unaofanana kitu ambacho kikifanyika maana ya University haipo tena kwa maana ya kwamba hii itadidimiza ugunduzi na uzalishaji wa maarifa mapya kwa wanafunzi. Pili, kwa vyuo vingi, nafikiri mitihani ina michakato kuanzia ile ya ndani mpaka ya nje ambayo haitoi mwanya hata kidogo kwa mwalimu kumuonea mwanafunzi. Hoja hii ya kwamba waalimu wanawaonea ama kuwapendelea wanafunzi inatolewa na wanafunzi wenye udhaifu ama mapungufu fulani fulani. Mitihani ya vyuo vikuu hupitia michakato mingi, kuanzia kwa moderators, exerminers boards, watahini huru wa ndani na baadaye watahini huru kutoka nje ya nchi. Hawa wote huangalia ubora wa mtihani na usahihishaji wa mtihani wa mwanafunzi mmoja hadi mwingine. Kwa namna hii, hii hoja ya mwalimu kumkosesha mwanafunzi kwa sababu tu ana kisa naye hukosa nguvu kabisa.
 
Ni vyuo vikuu vipi hivyo? Vitaje kwa majina na sisi tukajichukulie mijipiei ya juu kama flaiova ya kijazi
 
Ni vyuo vikuu vipi hivyo? Vitaje kwa majina na sisi tukajichukulie mijipiei ya juu kama flaiova ya kijazi
Kijazi ni level zingine mkuu, wala usijilinganishe naye, Anastahili kabisa kupewa heshima kubwa ndani ya taifa hili
 
Naomba rejea kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu.

Kama tunavyojua kuna baadhi ya vyuo hapa Tanzania vimekua vikigawa ufaulu wa bure kwa wanafunzi wao na kuwafanya waonekane wamefaulu sana na kuhitimu na ma GPA makubwa ambayo hayaendani na uwezo walionao kichwani.

Pia kuna baadhi ya wanafunzi wamekua wakitoa rushwa ili tu wafaulu vizuri katika mitihani yao. Hivyo kumekua na udanganyifu katika baadhi ya matokeo ya wanafunzi wa vyuo vikuu.

Hivyo basi ili kuondoa matatizo haya pamoja na kuleta usawa katika ufaulu mchakato mzima wa kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani ya mwisho wangekabidhiwa TCU.

Poleni wana vyuo vya kata kwa huu uzi, ndio umefika hivyo.
kama ni hivyo, hakutakuwa na innovation yeyote, labda ungenambia kwa wale ambao wanasomea ualimu, mana kitu wanachoenda kupresent ni kile kile japo pia ni ngumu.

Development nowadays is a competition game widely, kila chuo kinajikita na gunduzi mpya ili kizidi kuwa bora kuliko vyuo vingine,

mfano mtu alosoma account pale TIA, AIA, tunaamini wapo competeten na fani hii na mara nyingi wakufunzi hutumia mitaala tofauti tofauti mfano from cambridge, oxford and other like,.

kila sku watu wanatoa articles tofauti nandomana unaweza kusoma chuo ukapata notes (mtumba) wa wanafunzi wa mwaka ulopita lakini baadhi ya topics znakuwa zmeongezwa na nyinhine znaondolewa coz zipo outdated, sasa huoni kwamba serikali itaingia gharama ya kila sku kuwafanyia wakufunzi training?

mwisho wa siku elimu TZ tutaizika. Ni bora tutumie mfumo huu huu wa kukopy kutoka nchi nyingine mana nchi nyingi znatmia mfumo huu, kumbuka sera za elimu na kila kitu tmekopy na tulio wakopy wanatmia huhuu mfumo, sasa ukisema tufuate mtaala mmoja, je! tutumie material gani? yaani wizara nayo tuipe mzigo wa kuandaa material yanayofanana vyuo vyote?
 
Mkuu hapa umedanganya umma kabisa.

Ukweli ni kwamba;
Dissertation/Thesis huwa inasahihishwa na watu wawili 1. internal examiner (huyu ni mwalimu wa hapo hapo ndani ya idara), 2. External examiner (huyu huwa ni wa chuo cha nje).
Marks za external examiner huwa zinapewa uzito, hasa ikitokea hawa examiners wawili wakatofautiana katika grades walizotoa. Na mara nyingi kama sio mara zote marks ya external ndio huwa inachukuliwa.
Nidaganye Ili nipate faida gani chuo nilichosoma mark's za internal ndo hupewa kiupaumbele na ndo ilivokuwa kwangu. So usibishie kitu nilichokipitia
 
ww njoo hapa UDOM school of medicine and dentistry/ School of nursing and public health uone watu wanvyokula shule!

Big up Dr Mchonde unafanya tuwe na shule Kichwani
Msalimie sana Dr G MCHONDE, Ile Ford yake Bado anayo na Shule anawapa kweli au kapoa nowdays!!?
 
Naomba rejea kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu.

Kama tunavyojua kuna baadhi ya vyuo hapa Tanzania vimekua vikigawa ufaulu wa bure kwa wanafunzi wao na kuwafanya waonekane wamefaulu sana na kuhitimu na ma GPA makubwa ambayo hayaendani na uwezo walionao kichwani.

Pia kuna baadhi ya wanafunzi wamekua wakitoa rushwa ili tu wafaulu vizuri katika mitihani yao. Hivyo kumekua na udanganyifu katika baadhi ya matokeo ya wanafunzi wa vyuo vikuu.

Hivyo basi ili kuondoa matatizo haya pamoja na kuleta usawa katika ufaulu mchakato mzima wa kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani ya mwisho wangekabidhiwa TCU.

Poleni wana vyuo vya kata kwa huu uzi, ndio umefika hivyo.
Bonge la point mzee wangu
 
Nidaganye Ili nipate faida gani chuo nilichosoma mark's za internal ndo hupewa kiupaumbele na ndo ilivokuwa kwangu. So usibishie kitu nilichokipitia
Narudia kusema hicho kitu HAKIPO na kama uliambiwa basi ulidanganywa.

Na kama supervisor wako au mtu mwingine yeyote ndio alikuambia kuwa wamekuwekea marks za internal na kuwa huo ndio utaratibu wa UDSM basi alikudanganya.

Nadhani tatizo sio wewe ila aliyekuambia huo uongo ndio msingi wa tatizo. Lakini ukiendelea kuamini katika hicho unachokiamini saivi basi wewe ndio utakuwa tatizo.
KUBALI KUJIFUNZA
 
Maregulator wengi wamekuwa Refa-Mshambuliaji. Unataka kuongezea mwenginewe?
Naomba rejea kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu.

Kama tunavyojua kuna baadhi ya vyuo hapa Tanzania vimekua vikigawa ufaulu wa bure kwa wanafunzi wao na kuwafanya waonekane wamefaulu sana na kuhitimu na ma GPA makubwa ambayo hayaendani na uwezo walionao kichwani.

Pia kuna baadhi ya wanafunzi wamekua wakitoa rushwa ili tu wafaulu vizuri katika mitihani yao. Hivyo kumekua na udanganyifu katika baadhi ya matokeo ya wanafunzi wa vyuo vikuu.

Hivyo basi ili kuondoa matatizo haya pamoja na kuleta usawa katika ufaulu mchakato mzima wa kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani ya mwisho wangekabidhiwa TCU.

Poleni wana vyuo vya kata kwa huu uzi, ndio umefika hivyo.
 
Back
Top Bottom