huyu kaka ndie ana pepo la ngono kabisaaaaaaaaaaaakale ka dada kana pepo wa ngono kabisaaaaaaaaaaaaa
Dah yaani mkuu umekaribishwa home kwa mshikaji alafu unammega mdogo mtu dah sio fair mzee lakini siwezi bisha ni makubaliano yenu. Lakini mshikaji wako wa Dar akijua tu itakuwa aibu kwako maana fikiria kama yeye angekufanyia wewe kwa mdogo wako najua hapo ulimega kavu sasa binti akipata mimba na ni denti si noma zaidi mkuu? Unaweza ukajikuta unaenda kukalia debe sello. Achana na wanafunzi mkuu kama ulikuwa na njaa si unge enda Bar ukachukua milupo ambayo ipo loose pale tena Mafinga pale wapo shazi ukeeenda friends corner pale wapo shazi.
..... Kwa mara ya kwanza umeanza kuingia moyoni mwangu lol. Nyamayao yuko wapi tukupigie makofi kumbe ukitulia we mzuli!. Mwalemi sana kaka!
Gudboy
duh! ndio maana niliondoka baada ya kugundua kosa, otherwise ningeendelea kuwepo, nastahili kusamehewa na sio kushtakiwa. Bahati nzuri hana mimba na sasa yupo kidato cha 5
Halafu ukimwi pia upo wa kumwaga pale Mafinga. Huyo dem inawezekana kishazowea hako kamchezo siku nyingi, jamaa akapime mapema !!!!
......sikujua pa kuanzia ukichukulia ni muda mrefu umepita.
.....................Siku ya kuondoka binti hataki niondoke, nikafikiria na kuwaza kuwa huyu binti anataka kuniletea balaa, huyu kaka yake akishtukia si itakua balaa, na angejua tu maana dogo alikwishachanganyikiwa na lile penzi la wizi. Nikafosi kuondoka kwa kujua jamaa akishtukia mchezo atanikata mapanga si unajua tena watu wenyewe wanyalu, na pia ingekua noma kwa mshikaji wangu dar akijua kuwa nilimmega dada yake.
Sasa ndugu kama ungekua wewe na situation hiyo ungefanyaje? Na huyu binti anataka kumwambia kaka yake kuwa mimi ndio boyfriend wake, sasa hawa jamaa wataonielewa kweli na dada yao ndio hasikii la mnadi swala wala la mwazini. nishaurini jamani
Mmmmh!
basi Fidel80 kafurahi hapo
Mmmmh!
basi Fidel80 kafurahi hapo
Gud boy unataka kweli ushauri au ndio umetoa haka kastori kwa ajili ya "ku-fantasize"
nashukuru sana kaka kwa ushauri mzuri, ila huyu binti anasoma hapo moro sec, huwa tunawasiliana, lakini kwa kuwa ni mwanafunzi kwa kweli sina la kusema labda hapo atakapomaliza shule yakeMkulu sasa hii kitu ilitokea zaidi ya mwaka, hebu tuambie ULIFANYA nini? maana sidhani kama ushauri wa sasa hivi utakuwa na umuhimu wowote. Je, unaendelea kumega?uyo binti anasoma wapi? kama humegi ina maa hapa hakuna ishu, mambo yameshapita unless una current developements zinazohitaji inputs.
Mi wala sikulaumu kwa sababu kama binadamu ulianguka..hatutegemei uwe malaika so inuka and move on.
kwa kweli ni makosa tu ya kibinadamu na udhaifu wa wanaume ndio ilipelekea hali hii kutokea, CHA MSINGI NIMELITAMBUA KOSA LANGU na nimepima ngoma mara ya 4 sasa lakini nipo safi kabisa. Halafu unajua wale wanyalu, wanakwambia we niangusage tu si sambi sako mwenyewe[
Kaka fikiri kabla kutenda, ulimuamini nini huyu binti? jee unajua historia yake kimapenzi? ameshatembea na wangapi?
Ngonozembe itakuwacha pabaya, sio mimba tu jee umefikiri maradhi ya ngono? HIV?
Ushauri nenda kapime na uachane na tabia ya ngonozembe.
Kwa mwendo huu ukimwi utaendelea kusambaa.
nashukuru sana kaka kwa ushauri mzuri, ila huyu binti anasoma hapo moro sec, huwa tunawasiliana, lakini kwa kuwa ni mwanafunzi kwa kweli sina la kusema labda hapo atakapomaliza shule yake
poa mkuu, mimi ni Gudboy wa ukweli na hata ukiniona mwenyewe utanikubali, very innocent na mpole sana. Ndio hiovyo tena imetokea but kwa sasa naangalia life mkuuWakuu,
Naomba Gudboy kwanza abadili jina lake na signature yake; they contradicts with what he has done. Achana na hakp ka denti and move on!!!
Secondly; acha ngono nzembe!!!
shukrani sana kwa mawazo mazuri na hii ndio JF ambayo inatupa mawazo mazuri sisi young generation na hapa ndipo tunapopata uzoefu na jinsi ya kuhandle problemsDhahiri wote mnapendana, unajibaraguza tu hapa. Mbona unasema mliongea mawili matatu wala husemi ni yepi mliongea ya maisha? Nilidhani kavutwa na mawazo yako ya maisha akadhani anaweza kuishi nawe, na kwa kuwa muda ulikuwa mfupi kukaa pamoja, aliamua kukupa special ambayo hata wewe uliitaka. Najua maumbile ya form four yanavyochanganya vijana rijali, ungemwambia tu unampenda, kwa kuwa una kaka yake aliye rafiki yako na anayekuamini, basi ungepropose kitanzi cha maisha naye lakini ukimsisitiza amalize shule nawe umsaidie amalize vizuri.
Una bahati maana kama kweli ilikuwa special, ulikula yote nyama laini yake, naye akakubali kumeza mwensake pasipo kinga yoyote. Kama mlikinga basi mlishajiandaa na wala sio mashtukizi. Kumbuka wanyalukolo mabinti wanapenda sana kuishi Dar, nawe ulishasema unakaa Dar, labda alishapiga hesabu ya namna ya kuingia Dar sio kama house girl bali housewife. Chunga sana, wanyalukolo sambi sako mwenyewe, kwao hakuna taabu, lakini vijana wa sasa wana machale makali. Kama hujaoa, nakushauri umwoe tu akimaliza shule. Kurukaruka hakutakusaidia, utajikuta unabeba mdudu bila kutarajia. Labda kama umtaalam, specialist wa kumezwa. Ukizoea vibaya siku ukipata ile kitu ya kwako mwenyewe hautatulia, maana japo bucha zina nyama inayofanana, makarangizi ni tofauti na itakucost. Kuna jamaa alikuwa anamezwa na huyu physically lakini kumbe akilini mwake alikuwa anamezwa na mwingine, kwani aliyekuwa naye hapo alimwona baridiiiiiii!
Leka