Ingekua wewe ungefanya nini kwenye mtego huu?

Huyo binti ALIMTAKA mwenyewe, kwani alimtumia sms kwamba ana "something special" ya kumpa. Inaonekana dada mtu alimzimikia.

Sishabikii ufuska, lakini wote wanawajibika kwa pamoja. Naona lawama zimezidi upande mmoja tu.

Huyo kaka asingeshawishika kama asingewashiwa "taa ya kijani". Ukiwa kwenye junction, kama taa za kuongoza magari ni "nyekundu" wala huthubutu, labda uwe fisadi. Na siku hizi mafisadi barabarani wameongezeka sana, hata kama taa yenyewe ni ya "mama mtu" wao wanakwea tu! Na inawezekana mama mtu hajapata muda mrefu, lakini wao hawajali.... ufuska, ufisadi.... hizi ni alama za nyakati za mwisho, tukae chonjo, kiama kinakuja!

Du! Dunia imekwisha!
 
Yaani wewe ni pimbi kweli yaani! mtoto wa shule unamfanya hivyo halafu sis wa rafiki yako, isitoshe umekaribishwa kwa ukarimu, huna maana kabisa wewe sasa unataka ushauri gani labda uende jela ndo utafungua akili, ok by the way ingekuwa mimi nisingekubali hata kuongea nae kama alipotaka, halafu hujasema kapataje namba yako mpaka akutumie sms kama si dili ulilopanga na yaelekea ulimdanganya na vijizawadi, ukweli umekosa adabu kabisa na jela inakufaa
 
Sasa ndugu kama ungekua wewe na situation hiyo ungefanyaje? Na huyu binti anataka kumwambia kaka yake kuwa mimi ndio boyfriend wake, sasa hawa jamaa wataonielewa kweli na dada yao ndio hasikii la mnadi swala wala la mwazini. nishaurini jamani

Ulichifanya sio kizuri, na watu kama nyinyi Mungu huwa anawalipia, tegemea kufanyiwa hinyo na wewe, utafanyiwa au kwa atakaye kuwa mkeo kama ujaoa, au binti yako au dada yako
 




Mwana tutake lazi, nani anapenda kuishi sehemu yenye kero nyingi!? evrythin Dar kero, akha!! bora niishi Iringa kwetu kila kitu tambaraaare kusnzia maji, umeme, foleni magari, hali ya hewa nakazarika.
So, acha imani potofu mkuu))
 
Gudboy!!! Ulitumia condom wakati unamega huyo minor? Yaelekea ni kakicheche maharage ya mbeya, suppose umebahatika hujaambukizwa ngoma au ugonjwa wowote wa zinaa utataka tukushauri??? Ingekuwa rafiki yako umemkaribisha kwako akammega dada yako tena mwanafunzi ungefanyaje??? Mchana mwema usije kunipotezea appetite bure!!
 



Hivi ni kosa kumpenda dada wa rafiki yako!??
Na kwanini jamaa anashambuliwa tuuuu,! jamaa katambua kosa thus anaomba ushauri, so tumpe ushauri istead of pondaring.
Babu zetu walisema kosa si kosa bali kulirudia.
Gudboy ka kiukwelia unamfeel dogo, endeleza libeneke, but sio kizembe na ukifika wakati nenda kajitambulishe, sio kosa kabsaa!!
 
hapana ndio kwanza nimemaliza chuo, naangalia kwanza maisha then hayo mengine nitarekebisha baadae, maana sitaki familia yangu ipate tabu si unajua tena maisha ya sasa




Gud!! u deserve hilo jina)) wish all the best mwana))
 
ebwana unatisha ile mbayaaaaa!. please nakuomba my bro tabia hiyo uiache, katika jamii haistahili ndugu yangu, pia unawezaje kumpenda msichana siku mbili tu na ukamwamini na mbayaaaa zaidi ni mdogo wake rafikiyo, think twice before you make decision,
 
hapana kaka, namba yangu alipewa na kaka yake siku aliponiambia nimsindikize sokoni, halafu mi mwenyewe choka mbaya ile ile na yeye ndo alikua akinitega. Suikumpa hata senti tano maana ningekosa nauli ya kurudi kwetu dar
 
Ulichifanya sio kizuri, na watu kama nyinyi Mungu huwa anawalipia, tegemea kufanyiwa hinyo na wewe, utafanyiwa au kwa atakaye kuwa mkeo kama ujaoa, au binti yako au dada yako
duh!!!!!!!!!!
 
kwa kweli sina majibu ya maswali yako ila ndo imetokea na najuta kumfahamu yule binti
 
shukrani sana kaka kwa mawazo mazuri
 
ebwana unatisha ile mbayaaaaa!. please nakuomba my bro tabia hiyo uiache, katika jamii haistahili ndugu yangu, pia unawezaje kumpenda msichana siku mbili tu na ukamwamini na mbayaaaa zaidi ni mdogo wake rafikiyo, think twice before you make decision,
poa, but ilikua na bahati mbaya mazee
 
Du bro yani kwenye sofa heb u tueleze inonekana ni mzoefu,kwenye sofa ikoje na kwa kitanda iko vipi nami nihamie kwenye kochi,ila ugenini next tym utachezea mapanga
 

Mzee wa ma-lovee!! Napenda nikuite hivyo kama kawaida yako issue zako ni zilezile visa na vituko vyako vya TOTOZ!!
Nakusoma Mkuu! ila ushauri wangu kaka punguza "striking" zako kwa hawa viumbe ukizingatia sasa kuna "kitu kikali".....,NO LOVE....NO GLOVES!!
 
Du bro yani kwenye sofa heb u tueleze inonekana ni mzoefu,kwenye sofa ikoje na kwa kitanda iko vipi nami nihamie kwenye kochi,ila ugenini next tym utachezea mapanga
hahahaha umenichekesha kweli, ujue kitu chochote unafanya kutokana na mazingira, kwa hiyo kama mazingira yakiruhusu sehemu yoyte mtafanya iwe ******, vichakani, kitandani, chumbani na kwingineko ilimradi mazingira yanaruhusu, halafu si unajua tena penzi la wizi ndg linavyokua. Ila kama una mke wako unaweza fanya mapenzi popote pale maana ni wako tofauti na wakuvizia
 
poa mkuu nimekupata vilivyo
 
we Good boy..yaani bado unajadili tu hii ishu, hivi bado tu unakachezea hako katoto ka secondari?...usijivunjie heshima hadharani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…