You little vampire! yaani umepokelewa, umepewa pa kula na kulala bure, ofa ya kutembezwa hapa na pale bureeee na bado haukutosheka ukamla na dada yao! mi nadhani wote nyie ni washenzi tu, we msichana mdogo huyo wa kukuona kwa macho siku 2 ya tatu akakuvulia nguo!!!!! na inaelekea hata condoms hamkutumia maana kama kweli hukuwa ukijua hiyo special ni nini siamini kama ulijiandaa hata kwa kuwa na kipande cha mfuko wa rambo sikumbwambii hiyo original condom!!! hivi kweli katika hali hii ya ukimwi n.k ni muda wa kufanya hayo kweli? una elimu ya kiasi gani wewe mtu, mbona unanitia shaka hata kama uliwahil kuuona ubao mweusi mbele yako ktk maisha yako??? mh jamani kumbe elimu bado sana. next time usirudie kitendo kama hichoo maana kwa mwendo huo ukijaoa hata mkweo akija kukutembelea waweza kumlala huna maana hata kidogo! halafu eti waita mtego! umejitega mwenyewe kwa kukubali kukaa nae hadi usiku na baadae kujitia kumsugua nyayo ulitegemea nini!