Ingekuaje kama Goli la Tshabalala angefunga Ntibanzokiza?

Ingekuaje kama Goli la Tshabalala angefunga Ntibanzokiza?

Simba haipo kugombania magoli bora, ila points tatu, magoli mengi na kandanda safi. Hayo magoli bora yanakuja tu kutokana na kandanda safi la kiwango cha juu. Kwa hiyo unatakiwa kuihukumu Simba kwa kutofunga magoli mengi au kutocheza kandanda safi

Umemaliza kila kitu! [emoji1316][emoji1316]
 
Najua bado Ligi Kuu ya VPL haijamalizika ila nina uhakika hili Goli la Mohammed Hussein Zimbwe Jr ( alias ) Tshabalala ndiyo linaenda kuwa Goli bora la Msimu.

Nawasubiri Watangazi Wanafiki wa Wasafi FM ( ambao pia ni wana Yanga lia lia ) Maulid Kitenge, Yusuph Mkule na Mchambuzi George Job Kesho Jumatatu watasemaje juu ya hili Goli kwani Saido Ntibanzokinza alipofunga Goli la Kawaida sana ( dhidi ya hawa hawa Gwambina FC ) ambalo hata Mwanangu Junior anaweza Kufunga waliliimba ( walilisifia ) Kipindi kizima

Saido Ntibanzonkiza nina uhakika angefunga Goli kama la Tshabalala jana kwa Ushamba wake ( japo amekaa kwa Kubahatisha Ulaya ) angevua kabisa Jezi na Chupi ( Boksa ) yake kisha angezunguka Uwanja mzima na angeomba pia atoke nje ya Uwanja kabisa barabarani aweze Kushangilia.

[emoji23][emoji23][emoji23]umeandika kwa uchungu sana, japo pia nimeufananisha mwandiko wako na jamaa fulani humu ambapo jina lake linafanana na dawa!
 
Najua bado Ligi Kuu ya VPL haijamalizika ila nina uhakika hili Goli la Mohammed Hussein Zimbwe Jr ( alias ) Tshabalala ndiyo linaenda kuwa Goli bora la Msimu.

Nawasubiri Watangazi Wanafiki wa Wasafi FM ( ambao pia ni wana Yanga lia lia ) Maulid Kitenge, Yusuph Mkule na Mchambuzi George Job Kesho Jumatatu watasemaje juu ya hili Goli kwani Saido Ntibanzokinza alipofunga Goli la Kawaida sana ( dhidi ya hawa hawa Gwambina FC ) ambalo hata Mwanangu Junior anaweza Kufunga waliliimba ( walilisifia ) Kipindi kizima

Saido Ntibanzonkiza nina uhakika angefunga Goli kama la Tshabalala jana kwa Ushamba wake ( japo amekaa kwa Kubahatisha Ulaya ) angevua kabisa Jezi na Chupi ( Boksa ) yake kisha angezunguka Uwanja mzima na angeomba pia atoke nje ya Uwanja kabisa barabarani aweze Kushangilia.
Genta kama Genta[emoji23]
 
Back
Top Bottom