Ingekuwa Bongo Sjui Ingekuaje.

Naanza kutumia jina langu la asili kisha nafungua kesi mahakamani ambayo itanihalalishia Mgwenako Mangasini na Castr Mangasini kuwa ni watu wawili tofauti.

Kisha naoa wake wanne kama dini inavyotaka, halafu naoa wake wawili wawili kama sheria inavyotaka.

Ile kesi yangu ya kumtenganisha Mgwenako na Castr si nilishinda? Basi Mgwenako atakua na wake zake wanne kama dini inavyotaka na Castr naye vivyo hivyo.

Ugali unaleta mawazo sana.
 

Hahahahah.

Katika ubora wako aisee wa upembuzi yakinifu mkuu. Umetisha aisee.
 
Hiyo habari ni ya kizushi naona kila mwaka inarudiwa tena, mara ya kwanza kuisikia ni mwaka 2014 na ilikanushwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…