Ingekuwa hivi ingependeza sana..

Ingekuwa hivi ingependeza sana..

Pule

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2024
Posts
378
Reaction score
719
Habari wadau....Hawa Azam fc walichukulia poa sana CAF champions league mapema tu wamerudi nyumbani, ikiwapendeza sisi Simba watupe Feisal na sillah kwakuwa hata kwenye ligi msimu huu watashika nafasi ya tatu tunashida na hao watu wawili tu kutoka kwao. Nawapa pole wanarudi kinyonge sana
 
Habari wadau....Hawa Azam fc walichukulia poa sana CAF champions league mapema tu wamerudi nyumbani, ikiwapendeza sisi Simba watupe Feisal na sillah kwakuwa hata kwenye ligi msimu huu watashika nafasi ya tatu tunashida na hao watu wawili tu kutoka kwao. Nawapa pole wanarudi kinyonge sana
Mmetumia bil 7,mnashindwa kuforce kuwapata hao wachezaji?
 
Tamaa nyingine zinafurahisha na kuhuzunisha kwa wakati mmoja.
 
Habari wadau....Hawa Azam fc walichukulia poa sana CAF champions league mapema tu wamerudi nyumbani, ikiwapendeza sisi Simba watupe Feisal na sillah kwakuwa hata kwenye ligi msimu huu watashika nafasi ya tatu tunashida na hao watu wawili tu kutoka kwao. Nawapa pole wanarudi kinyonge sana
Hiyo mchezo majina ya wachezaji watakao shiriki pamoja na vilabu watakavyo vitumikia hupelekwa CAF hiyo michuano siyo ya ndondo cup
 
Back
Top Bottom