Ingekuwa Mo Dewji kadhulumu kiwanja wachambuzi makanjanja yangeshuka naye jumlajumla

Kwanza ingekua tu kwenye ile ishu wa kutokuwapa hata shilingi mia. Vilabu vyotr vilivyovaa nenbo ya.. Kwenye jez alf baadae unajitoa. [emoji1787][emoji2] pangewaka moto kwa wachambuzi uchwara aiseee
Imenyamziwa kimyaaa
 
Kweli wewe njaa kali mpaka kichwani
Njaa Kali hao waluodhulumu hadii teams 14 zilizoshoboka kuvaa logo yao began I hadii Leo Hanna malipo na makanjanja yanapiga kimya ingekuwa in dewji ukanjanjani pangewaka moto
 
GSM ni mafia ,hukumbuki enzi za utawala wa kikwete alikuwa na skendo ya kumwagia tindikali ndugu yake , waandishi wa habari wanamwogopa anaweza kuwapoteza jumla
Kuna umuhimu gani kumtaja JK kama skendo ni ya familia ya GSM?
 
We nii mojawapo ya wale wachambuzi michicha mwiba wanaoliwa matter core na kusafirishwa marekani kila Mara?
Mkuu mbona kama umenitukana, mimi nimekuuliza tu kuwa wewe ni me au ke? Matusi siyo poa mkuu
 
Usitake watu wakutukane kwa kujaza ujinga humu. Umetumwa na Makonda ubadilishe hii kesi iende kwenye ushabiki wa soka ukidhani utapata nafuu?
We bogus hivi huwezi kujenga hoja kwa mtazamo wako mpaka ulete Kejeli au Kutishia Kutukana.. Unataka alete mada inayokufurahisha au kumpangia cha kuandika ukiwa kama nani hapa?

Unadhani wengine hawajui hayo matusi? Zero Zero Brain Wewe..!
 
We bogus hivi huwezi kujenga hoja kwa mtazamo wako mpaka ulete Kejeli au Kutishia Kutukana.. Unataka alete mada inayokufurahisha au kumpangia cha kuandika ukiwa kama nani hapa?

Unadhani wengine hawajui hayo matusi? Zero Zero Brain Wewe..!
Nilijua kwa akili chache unazomiliki huwezi kukaa kimya.
 
We nii mojawapo ya wale wachambuzi michicha mwiba wanaoliwa matter core na kusafirishwa marekani kila Mara?
Kushabikia soka hakukutoshi umeanza kushabikia waume za watu. Issue ya Makonda na Ghalib kuipeleka kwenye soka ni uzuzu uliovuka mipaka.
 
Nilijua kwa akili chache unazomiliki huwezi kukaa kimya.
Mapunguani wote wenye uhitaji wa afya ya akili kama wewe, kamwe hatuwezi kukaa kimya, lazima tukupe dawa yaani.

Huwezi kuwa na akili timamu ukajiita Zero.
 
Kushabikia soka hakukutoshi umeanza kushabikia waume za watu. Issue ya Makonda na Ghalib kuipeleka kwenye soka ni uzuzu uliovuka mipaka

Kushabikia soka hakukutoshi umeanza kushabikia waume za watu. Issue ya Makonda na Ghalib kuipeleka kwenye soka ni uzuzu uliovuka mipaka.
Bahasha za khaki mpewe na matter core mliwe duh punguzeni tamaa wachambuzi was mchongo,waume za watu hao trips za Marekani na uingereza ndiyo zisababishe kusalimisha marinda yenu?
 
Hasa yule mke wa hersi angepiga kelele
 
Mashabiki wa Yanga wanawalalamikia wachambuzi juu ya kuisrma vby timu yao. Nao wa Simba wanalalamika hivyo hivyo.
Sasa tufanyeje
 
Kama Ni Bashite wacha adhulumiwe maana mwosha naye uoshwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…