Kuna mambo mengi mnayo sifia Serikali ya Rais SSH kuyafanya, miongoni ya hayo ni "Kufunguliwa kwa nchi", Diplomasia ya Uchumi and so on, yaani kana kwamba Nchi ilifungiwa,na palikuwa hakuna "Diplomasia" which is bogus, kwani mpaka sasa hakuna anyejua maana halisi ya "Diplomasia ya Uchumi" hakuna anyejua inafanya nini na wala anayejua wanafikiaje hiyo "Diplomasia ya Uchumi" Kwa kifupi ni kelele tupu. Kelele za Chura. Ni propaganda tu.
Kudai kwamba Serikali ya Hayat Rais Magufuli iliongeza percentage bila ya kuzingatia sheria ni Bogus! Kama ni kweli aliyayafanya yalikuwa na makosa kama mnavyodai alifungia nchi na sasa imefunguliwa, nibkitu gani hasa kinachomshinda au kinachowashinda Serikali hii kutengua au kufanyia marekebisho Sheria unayodai ilibadilishwa?
Ni Sheria gani hiyo Iliyobadilishwa?
Nini haswa kilichobadilika, Sheria au Mkataba?
Kuongezeka kwa percentage ni badiliko la Sheria?
Tuwekee huo mkataba hapa na hiyo Sheria unayodai ilibadilishwa, zaidi ya hapo mada hii itabakia kuwa kati ya mada nyingi zinazojengwa kuchafua Serikali ya Hayat Magufuli kwasababu ya vinyongo na visasi binafsi vya Mafisadi, Mamluki, Mawakala na Vibaraka wa Majambazi na Mabeberu.
Bogus!
"Serikali ya awamu ya tano chini ya Magafuli, wakabadilli sheria na kuongeza kiwango cha makato kutoka asilimia 8 mpaka asilimia 15 ya sasa na sheria imekuwea ikitekelezwa bila kujali mkataba baina ya mkopeshaji na mkopeshwaji."