Ingekuwa ni jambo la kimataifa, serikali ingeshindwa mahakamani na pengine kutakiwa kuwalipa fidia Wanufaika wa Bodi ya Mikopo

Inshort umejidhalilisha🤣🤣
 
Mkuu punguza makasiriko,
Kuita mada ni Bogus ni Makasiriko? Ha ha
Ina maana hukusoma Mkataba uliopewa. Ina maana ulikurupuka kupiga sahihi bila ya kusoma na kuelewa wajibu wako kama mkopeshaji. Ulisoma hiyo sheria hiyo inayodaiwa ilibadilishwa? Weka hiyo Sheria au Huo mkataba hapa turidhie, zaidi ya hapo, narudia, Madai yenu ni Bogus!

Hatahivyo, kama kulikuwa na makosa na hitilafu kisheria au kwa mahesabu, hayo makosa au hitilafu haya dondokei moja kwa moja kwa Raisi.
 
Mbali na hayo ya HESLB Umeshaona wapi hayo?? Kuwa wanufaika wa mikopo wanajadiliana na Mkopeshaji, umeona wapi?
Mfano wewe ni mwajiriwa wa serikali unataka kukopa pesa labda milioni kadhaa je utakopeshwa tu bila kuangalia mkataba kipengele na riba na utarudisha kwa muda gani? Kama hakuna majadiliano basi hakuna ukopeshaji hapo.
 
Kwanini kipindi cha kikwete kurudi nyuma mabro walikuwa wanakatwa 8% kulingana na mkataba lakini hawamu ya tano mambo yakabadirika ghafla.
 
Kwanini kipindi cha kikwete kurudi nyuma mabro walikuwa wanakatwa 9% kulingana na mkataba lakini hawamu ya tano mambo yakabadirika ghafla.
Lipi ni Lipi? 8% 9% Mkataba? Sheria? Kikwete? Magufuli? Samia?
 
Umeandika vizuri sana ila ulipofika mwisho ukaingiza utumbo eti katiba mpya. Maendeleo yanafanyika hata bila hiyo katiba mpya yako unayoitaja, ambayo si ajabu hujui hata iliyopo inasemaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…