Haya mambo ni kama masihala hivi, sikutegemea yangeweza fikia hatua ya kwenda Bungeni hadi Ikulu.
Zilianza Nchi za West Africa Mapinduzi, Kenya, Iko siku Tanzania.
Kwa Tanzania Kuna haya:
1: Kikokotoo
2:Hilo la kujilimbikizia mali kama la wake za Wastaafu
3:Rushwa
4:Mambo yasiyo na uhalisia yanayopandisha gharama za Maisha bila sababu za kueleweka,mfano, Sukari kupanda Bei,Mafuta, Vifaa vya Ujenzi ambapo Nchi zinazotuzunguka mambo hayo hayatikei
5:Utekaji na upotevu wa watu bila Maelezo ya Msingi nk
Mambo haya yakiachwa yakue na kuayafumbia macho Kuna siku naona kabisa watu wanaweza kuleta shida