Ingekuwa Tanzania 🇹🇿 tunafanya kazi nyumbani za ofisini kwako ingekuwaje?

Ingekuwa Tanzania 🇹🇿 tunafanya kazi nyumbani za ofisini kwako ingekuwaje?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
He'll Africa

Nimejaribu kuwaza sana kama Tanzania kwa kiasi kikubwa wengi tungekuwa tunafanya kazi za ofisini nyumbani ingekuwaje?

Kwangu mimi ni ngumu sana huwa najitahidi lakini wapi mpaka napigiwaga simu na boss sioni kazi kazi zikitumwa kwenye system hali inayo nipelekea kwenda kazini mpaka juna pili ili tu kazi za watu ziishe lakini nikisema leo nafanyia nyumbani ase nitahudumia client mmoja tu kwa siku theni nalala au najipa kazi zingine

Kwako ingekuwaje au inakuwaje mpaka unaweza kufanya kazi nyumbani?
 
Back
Top Bottom