Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya kuulizana mambo ambayo kama yangetokea unahisi ni nini kingetokea.
Weka hapa hilo jambo wajuzi watakujibu wanavyo hisi wao na wakishindwa basi iwe changamoto kwa wote.
NB. Sio kila swali utakalo uliza lazima lijibiwe.
Naanza mimi.[emoji116][emoji116][emoji116]
Ingekuwa vipi kama Binadamu tusinge kuwepo Duniani?
Ingekuwa vipi kama jf ingekuwa inamilikiwa na kada mwandamizi kutoka chama cha siasa?
Ingekuwa vipi kama Tanzania kusinge kuwepo na vyama vya siasa?
Endelea......
Weka hapa hilo jambo wajuzi watakujibu wanavyo hisi wao na wakishindwa basi iwe changamoto kwa wote.
NB. Sio kila swali utakalo uliza lazima lijibiwe.
Naanza mimi.[emoji116][emoji116][emoji116]
Ingekuwa vipi kama Binadamu tusinge kuwepo Duniani?
Ingekuwa vipi kama jf ingekuwa inamilikiwa na kada mwandamizi kutoka chama cha siasa?
Ingekuwa vipi kama Tanzania kusinge kuwepo na vyama vya siasa?
Endelea......