Ingekuwa vipi?

Mimi binafsi ningependa nikae karibu na 'Mumu"
Sina sababu ya msingi kwanini?

Na ukiwaza chochote au kukisia kisia chochote kile utakuwa umenikosea adabu sana.
Naww pia uwepo,.bila shaka utafungua duka kuubwa tutaliita kwa "mangi" tutakuwa tunapata mahitaji yooote hapo..unaonaje hili mangi[emoji6]??
 
Naww pia uwepo,.bila shaka utafungua duka kuubwa tutaliita kwa "mangi" tutakuwa tunapata mahitaji yooote hapo..unaonaje hili mangi[emoji6]??


Haswa, na nngekuwa nikukopesha unga wa dona na viberiti vikikuishia kama mfuko wako ukiwa umetoboka

Lakini vitu vingine NO.

Ujirani ni kusaidiana ,ujirani ni kukopeshana.
 
Ingekuwa vipi kama binadamu hasingeumbwa na ubongo. Nadhani dunian viumbe wote wangeshakufa.
 
Haswa, na nngekuwa nikukopesha unga wa dona na viberiti vikikuishia kama mfuko wako ukiwa umetoboka

Lakini vitu vingine NO.

Ujirani ni kusaidiana ,ujirani ni kukopeshana.
Wow,..ww ndio mangi buanaa[emoji4][emoji4]udugu si kufafana,udugu ni kusaidiana,.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…