Ingekuwa wewe ungefanya nini kwenye huu mkasa?

Ingekuwa wewe ungefanya nini kwenye huu mkasa?

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,022
Reaction score
3,919
Moja kwa moja kwenye kiini.

Jana nimepokea simu kutoka kwa jiran yangu mahali nilipokuwa naishi.Jamaa ni mtu mzima anakaribia 47 ni vile tu anajitunza na hela ya kula haimsumbui kwa hiyo anaonekana kijana ila ni old school na pia alichelewa kuoa kutokana maisha yalimchelewesha. Ana mtoto wa darasa la kwanza .! Jamaa simu yake inasema baada ya salamu .

Ebhana nina changamoto moja hapa , ebhana mke wangu kaniambia aliekuwa jiran yetu ana mtongoza mke wangu !! Dah hii habar ilinisikitisha sana sikuamini mana wake zao ni mashoga wakubwa wakupiga stories na kucheka kwa sauti.

Jamaa mke wake alietongozwa yeye huwa anatoka saa tatu asubuhi na kurudi saa nne au sa tatu usiku

Huyu aliepiga mistari kwa mke wa mtu huwa anashinda nyumbani kila siku mana yeye ni mtu wa msimu ,korosho anaenda shamba akivuna anapata hela zake anatumia hadi msimu mwingine na ufuta pia vile vile.

SASA KATIKA MAONGEZI YA JAMAA AKASEMA MIMI HAPA NATAKA SIKU NACHUKUA MAJIRANI WAWILI TUNAENDA KWAKE AKIWA MKEWE YUPO NAMWAMBIA MBELE YA MASHAHIDI KUWA KAMA WW UMEONA MKE WANGU MIMI NI MZURI MPAKA UNAMTONGOZA BASI MIMI NAOMBA MKEO NIKAISHI NAE WW BAKI NA WAKWANGU.!!! HICHO NDICHO NLICHOPANGA KUKIFANYA JE WW UNASEMAJE? MIMI NIKAMWAMBIA TUTAONGEA.!!!

JE INGELIKUWA WW UNGEMSHAURI AFANYE NINI JAMAAA??
 
Kutongoza na kutongozwa ni haki ya kibinadamu.....je hamuamini mkewe anahisi atakubali? au hamuamini jamaa anahisi atam RC Simiyu mkewe?

Na kabla hajaenda nyumbani kwa huyo mwanaume, akae chini na mkewe apewe list yote ya wanaomtongoza ili apite nyumba kwa nyumba kuwachamba.
 
Kutongoza na kutongozwa ni haki ya kibinadamu.....je hamuamini mkewe anahisi atakubali? au hamuamini jamaa anahisi atam RC Simiyu mkewe?

Na kabla hajaenda nyumbani kwa huyo mwanaume, akae chini na mkewe apewe list yote ya wanaomtongoza ili apite nyumba kwa nyumba kuwachamba.


Jamaaa anahisi kudharauliwa mana jamaa tunakaa nae maskan na ni shabiki mwenzie wa utopolo
 
Jamaaa anahisi kudharauliwa mana jamaa tunakaa nae maskan na ni shabiki mwenzie wa utopolo
Anayemdharau ni mkewe.....amwambie aache kucheka cheka ovyo na wanaume, alevel up, aishi kama mke wa mtu.

Ushawahi kuona Simba anawinda tembo? Men are hunters, wanawinda windo wanaloliweza na kulimudu......mke kajichekesha katongozwa.

Hapo mke kashakubali, anampanga tu jamaa ili akikuta mawasiliano aseme si nilikwambia? Kingine anataka awagombanishe tu hao wanaume ili ale/aliwe huku na huku.
 
Hizi mambo za kutongoza tongoza ovyo ni tabia za wanaume wengi, mwambie aongee na mkewe vizuri
 
Mke wake hajielewi jambo la kumwambia mumewe anatongozwa tyr ni tatizo, it's all about her. Kama hajielewi ataliwa tu either aseme au asiseme
 
Moja kwa moja kwenye kiini.
Jana nimepokea simu kutoka kwa jiran yangu mahali nilipokuwa naishi.Jamaa ni mtu mzima anakaribia 47 ni vile tu anajitunza na hela ya kula haimsumbui kwa hiyo anaonekana kijana ila ni old school na pia alichelewa kuoa kutokana maisha yalimchelewesha. Ana mtoto wa darasa la kwanza .! Jamaa simu yake inasema baada ya salamu . Ebhana nina changamoto moja hapa , ebhana mke wangu kaniambia aliekuwa jiran yetu ana mtongoza mke wangu !! Dah hii habar ilinisikitisha sana sikuamini mana wake zao ni mashoga wakubwa wakupiga stories na kucheka kwa sauti.

Jamaa mke wake alietongozwa yeye huwa anatoka saa tatu asubuhi na kurudi saa nne au sa tatu usiku

Huyu aliepiga mistari kwa mke wa mtu huwa anashinda nyumbani kila siku mana yeye ni mtu wa msimu ,korosho anaenda shamba akivuna anapata hela zake anatumia hadi msimu mwingine na ufuta pia vile vile.

SASA KATIKA MAONGEZI YA JAMAA AKASEMA MIMI HAPA NATAKA SIKU NACHUKUA MAJIRANI WAWILI TUNAENDA KWAKE AKIWA MKEWE YUPO NAMWAMBIA MBELE YA MASHAHIDI KUWA KAMA WW UMEONA MKE WANGU MIMI NI MZURI MPAKA UNAMTONGOZA BASI MIMI NAOMBA MKEO NIKAISHI NAE WW BAKI NA WAKWANGU.!!! HICHO NDICHO NLICHOPANGA KUKIFANYA JE WW UNASEMAJE??????????? MIMI NIKAMWAMBIA TUTAONGEA.!!!

JE INGELIKUWA WW UNGEMSHAURI AFANYE NINI JAMAAA??
Suala dogo tu hili.....kama ni mimi namwambia kama kweli unamtaka mke wangu basi naomba tigo lako niwashe network, wewe uwe na X wangu na wewe uwe demu wangu mpya..
 
hapo aanze na mkewe maana mkewe ameombwa akakubali. Kisha huyo jamaa apewe onyo kali. Ila akiendelea nikupe kikosi kikosi wakam-simiyu
 
Kutongoza na kutongozwa ni haki ya kibinadamu.....je hamuamini mkewe anahisi atakubali? au hamuamini jamaa anahisi atam RC Simiyu mkewe?

Na kabla hajaenda nyumbani kwa huyo mwanaume, akae chini na mkewe apewe list yote ya wanaomtongoza ili apite nyumba kwa nyumba kuwachamba.
Nakazia
 
sema ilo jamaa linatamaa sana Linapata wapi ujasiri wa kutongoza mke wa mtu alfu ni jirani yake. snitch
 
Kutongoza na kutongozwa ni haki ya kibinadamu.....je hamuamini mkewe anahisi atakubali? au hamuamini jamaa anahisi atam RC Simiyu mkewe?

Na kabla hajaenda nyumbani kwa huyo mwanaume, akae chini na mkewe apewe list yote ya wanaomtongoza ili apite nyumba kwa nyumba kuwachamba.
Kumbe wanawake wengine muna mawazo mazuri
 
Mwambie na yeye amtongoze huyo mke wa muuza korosho ili iwe bilabila au ikibidi ale kabisa mzigo awe ameshinda gori 1 bila.
 
Huwezi zuia mtongozo, kukubaliwa ni suala lingine na ndio la kudili nalo
 
Moja kwa moja kwenye kiini.

Jana nimepokea simu kutoka kwa jiran yangu mahali nilipokuwa naishi.Jamaa ni mtu mzima anakaribia 47 ni vile tu anajitunza na hela ya kula haimsumbui kwa hiyo anaonekana kijana ila ni old school na pia alichelewa kuoa kutokana maisha yalimchelewesha. Ana mtoto wa darasa la kwanza .! Jamaa simu yake inasema baada ya salamu .

Ebhana nina changamoto moja hapa , ebhana mke wangu kaniambia aliekuwa jiran yetu ana mtongoza mke wangu !! Dah hii habar ilinisikitisha sana sikuamini mana wake zao ni mashoga wakubwa wakupiga stories na kucheka kwa sauti.

Jamaa mke wake alietongozwa yeye huwa anatoka saa tatu asubuhi na kurudi saa nne au sa tatu usiku

Huyu aliepiga mistari kwa mke wa mtu huwa anashinda nyumbani kila siku mana yeye ni mtu wa msimu ,korosho anaenda shamba akivuna anapata hela zake anatumia hadi msimu mwingine na ufuta pia vile vile.

SASA KATIKA MAONGEZI YA JAMAA AKASEMA MIMI HAPA NATAKA SIKU NACHUKUA MAJIRANI WAWILI TUNAENDA KWAKE AKIWA MKEWE YUPO NAMWAMBIA MBELE YA MASHAHIDI KUWA KAMA WW UMEONA MKE WANGU MIMI NI MZURI MPAKA UNAMTONGOZA BASI MIMI NAOMBA MKEO NIKAISHI NAE WW BAKI NA WAKWANGU.!!! HICHO NDICHO NLICHOPANGA KUKIFANYA JE WW UNASEMAJE? MIMI NIKAMWAMBIA TUTAONGEA.!!!

JE INGELIKUWA WW UNGEMSHAURI AFANYE NINI JAMAAA??
Mkewe ndiye hajielewi unamwambiaje mme maneno kama hayo, kwanini asingemstopisha huyo mwanaume kuliko kumwambia mmewe, mpuuzi, amuulize mkewe ilikuwa mpaka amtongoze na mkewe alikuwa wapi? Jinga kabisa kuna marafiki wengine huwa wahovyo ukiona huyu haumwelewi unamkwepa sasa yeye kumwambia mmewe ndiyo nini!
 
Back
Top Bottom