Ingekuwa wewe ungelipia?

Ingekuwa wewe ungelipia?

Swahili_Patriot

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
358
Reaction score
831
Hiki kisa hakikunitokea mimi ila mtu wangu wa karibu though sio sana.

Kv aliopoa chura fulani mweupe mwenye wowowo, nadhani ni mwanafunzi wa Mlimani na kwenda naye guest house. Baada ya kujiridhisha kuvutiana appetite, Kv akamuomba mwanamke cd then wakaanza mechi. Kv akiendelea na ukunaji, wakaskia pap na kuicheki cd wakaikuta imeburst huku ubao ukiwa 0:0.

Dada poa akaanza kudai bei yake. Kv akagoma kulipia maana hakufikishwa kituoni anapoelekea. Kwenye kujibizana, mama mwenye guest ikambidi akautulize ugomvi. Baada ya kujitambulisha, Kv akampokea kwa bashasha yule mama.

"Ehee, afadhali mama umekuja, ingekuwa wewe ndiyo mimi, ungemlipa huyu dada wakati hajanikojoza hata moja ILHALI cd ni jukumu lake maana mimi ni mteja tu kwake?"🤣🤣🤣🤣

Imagine reaction ya huyo mama baada ya kuulizwa hivyo na vijana anaoweza kuwazaa wote tena kwa utuo?

Kwa wanaume, umewahi kutokewa au kushuhudia kisanga chochote kutoka Kwa dada poa?
 
Nikajua hii story ya kutunga tu tangia lini chura akawa mweupe na anakuwaje na wowowo?

Saa Saba hii na dakika 16 amka acha kuota ila ukiona choo ndotoni usikitumie mtego huo😬
 
Darasa la nne mmemaliza mitihani munakesha mitandaon mnatuletea utoto sio
 
Duuh kwambaaaa mnanua bado
Ckuiz wanaume wengi tu hawataki mahusiano sababu gharama haswa ukijulikana una kipato. Usipohonga wenzako wanamhonga n kumtumia watakavyo. Personally nimeshawahi kuvunja mahusiano sababu niliyaona yananitia umasikini. Nina rafiki yangu karibia kila wiki lazima mkewe aopolewe n wenye pesa. Ckuiz mahusiano yapo kimanufaa zaidi, mapenzi ya kweli labda kwenye movies au yule uliyemtia mimba au mwenye mtoto tena bado mdogo
 
Ckuiz wanaume wengi tu hawataki mahusiano sababu gharama haswa ukijulikana una kipato. Usipohonga wenzako wanamhonga n kumtumia watakavyo. Personally nimeshawahi kuvunja mahusiano saababu niliyaona yananitia umasikini. Ninab rafiki yangu karibia kila wiki lazima mkewe aopolewe n wenye pesa. Ckuiz mahusiano yapo kimanufaa zaidai, mapenzi ya kwelai labda kwenye movies au yule uliyemtia bmimba au mwenye mtoto tena bado mdogo
we kila kitu nina rafiki yangu madogo maisha sio maigizo
 
Darasa la nne mmemaliza mitihani munakesha mitandaon mnatuletea utoto sio
Daah, this is heavy bruh. Mr judge, I hope u own certificates besides birth n class 7n's. If no soo, jiambie "mimi n mpumbavu." No strings attached though professor 😁
 
Back
Top Bottom