Ingekuwa wewe...


...definately, hata mume hawezi save jina baya kwenye simu kumaanisha mkewe.

...imenifurahisha hiyo mw'ume kuitwa Bwege, zoba, ngumbaro kwenye storiz na wanawake wenzake...😀
 

Ni kweli mamsapu akikuita jina lako halisi wakati siku zote kuna manjonjo kama la'azizi na mahabuba ujue kuna jambo.

Majina mengi ya saloon ni bandia ili watu wasijue unamwongelea nani maana kuna mtu anaweza kumjua ikawa balaa hivyo ni kama kujilinda fulani kwenye maongezi na kuwaacha watu wengine solemba wasijue mwamwongelea nani.

Hivi wanaume wanasave majina ya kike kama ya kiume mfano 'Halima anasave Hamadi au Belinda anasave Benja' nk. Pia wanaume wana majina ya mafundi kibao kwenye simu zao mara fundi simu,fundi umeme,fundi bomba,fundi ujenzi,fundi seremala nk..kumbe hamna fundi hata mmoja hapo ili kama mamaa akamtindo wa kukagua simu ajue ni mafundi kumbe ndo wake wenza wa njee(vidumuz)..Hatari,siku hizi tunakimbilia simu za hao mafundi tena hata kama umeandika0save namba kama mama mzazi,itachekiwa tu..uwiiii,ha ha
 
...definately, hata mume hawezi save jina baya kwenye simu kumaanisha mkewe.

...imenifurahisha hiyo mw'ume kuitwa Bwege, zoba, ngumbaro kwenye storiz na wanawake wenzake...😀

Pia Gaidi..

Mengine siyajui Mbu..
 
Mh nimecheka kweli ngoja nione labda nami ntapata jina la kumwita wangu maana huniudhi kila mara hadi nachoka kubadili kwenye simu. Asubuhi anawezakuwa mtamu hadi basi nasave sweetie then ikifika mchana keshanibore zaidi ya mara moja natamani kusave Mbwa basi tu nashindwa! Leo I hope ntalipata la kumfit.
 
duh! yaani hapo sijui first reaction itakuwa kumchinja ama... ila the best thing is not to act immediately kwa sababu utajuta baadaye but then how do u live with that betrayal... eti lijinga liko jikoni.......hapo hata aje on his knees au head... sujui kama nitaacha kumchukia!
 
...
Hivi wanaume wanasave majina ya kike kama ya kiume mfano 'Halima anasave Hamadi au Belinda anasave Benja' nk.

...😀 wanawake ndio wenye kamtindo hako...wanaume wengi hawajafikia bado ujuzi huo!


...😀😀😀 ama kweli, duniani kuna mambo...shida yote ya nini hiyo!?
 
Shishi wanawake tumeumbwa kusahau ndugu yangu utasahau hata kabla jua halijachwa na mavituz utampa jioni ah!! Ila wewe sema kisichoeleweka utakoma. Nakumbuka kuna siku nilimwambia wangu ' jamani dia mbona unakuwa mvivu kushughulisha kichwa chako kufikiri?' duh linasemwa hadi leo eti nimemwambia hana akili sasa sijui siku akisikia namwita lijinga si atanitafuna bila chumvi!
 

fataki.....
 
Majina wanayoitwa wanaume na wake zao

1. Bwege
2. Zoba
3. Usiku wa Balaa
4. Baba xxx
5. Ngumbaro
6. Jamabazi
7. Baa (waweza kuitwa jina la baa unayopendelea kunywa)
8. Jina la Nyumba ndogo (kwa mfano Tausi)
9. Cha Pombe
10. Mzee wa (sehemu unayofanyia kazi)
11. Mzee wa (gari unaloendesha) kwa mfano (Mzee wa Baloon)
12. Wa (kijiji ulichotokea) kwa mfano Wa Kimanzichana
13. Li-(Baba_Enock)
14. Wangu (kwa mfano kwenye maongezi Wangu mimi urejea nyumbani mapema)
15. e.t.c
 

yaani nimecheka mpaka ofisini wananiuliza nini tena.... eti linasemwa hadi leo... umemuita mjinga.... duh!!! nao haweshi kuwaambia watoto wajinga kama mama zao!!
 
yaani nimecheka mpaka ofisini wananiuliza nini tena.... eti linasemwa hadi leo... umemuita mjinga.... duh!!! nao haweshi kuwaambia watoto wajinga kama mama zao!!

Ndo hapo sasa ndugu yangu we acha tu........

Nakwambia mie limewekwa Bank siku nkikosea tu nikawa nasemwa bali ah linafunguliwa yaani najuta kwa nini lilintoka pamoja na kuwa nilitumia kwa sauti laini we acha tu
 


Akiniita mimi mbona ataona cha mtema gogo kosovo.
Hii ni dharau hawezi niita hivyo.
 
Akiniita mimi mbona ataona cha mtema gogo kosovo.
Hii ni dharau hawezi niita hivyo.

Funny eeh........ yeye kukuita hivyo ni dharau ila wewe kumwita majina sio dharau ah
 
Ukitaka mwanamke muheshimiane na kupendana usimuonyeshe kwamba wewe uko weak! Ukimuonyesha upendo wa kikweli kweli..wengi wanachukulia kama ni uzaifu ndo majina ya uzoba yanaanzia hapo....

Hivi niwaulize akina dada humu: Ni vipi mwanaume anaweza kukuonyesha upendo wa kikweli kweli..bila yeye kuonekana dhaifu au kuitwa Zoba au Bushoke type????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…