GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Nafikiri, ingeweza kuwa na manufaa kwa JF kama taasisi, lakini isingekuwa na faida kwa Watanzania wengi.
1. Wana Afrika Mashariki wengi: Wakenya, Waganda, Wanyarwanda, n.k., wangeweza kujiunga na JF. Na Watanzania wangekuwapo pia ila idadi ingekuwa ndogo sana.
2. Ingekuwa na watumiaji wengi toka sehemu mbalimbali duniani zaidi ya ilivyo sasa.
3. Ingekuwa na members wengi zaidi ya ilivyo sasa.
Ingawa ingeweza kuwa na faida nyingi kwa JF kama taasisi, lakini sipendekezi wabadilishe uwe mtandao wa English. Kama walivyoinesha uzalendo tokea mwanzo, waendelee nao hata sasa.
Pongezi kwao kwa kuweka mbele maslahi ya Watanzania wengi badala ya fedha.
1. Wana Afrika Mashariki wengi: Wakenya, Waganda, Wanyarwanda, n.k., wangeweza kujiunga na JF. Na Watanzania wangekuwapo pia ila idadi ingekuwa ndogo sana.
2. Ingekuwa na watumiaji wengi toka sehemu mbalimbali duniani zaidi ya ilivyo sasa.
3. Ingekuwa na members wengi zaidi ya ilivyo sasa.
Ingawa ingeweza kuwa na faida nyingi kwa JF kama taasisi, lakini sipendekezi wabadilishe uwe mtandao wa English. Kama walivyoinesha uzalendo tokea mwanzo, waendelee nao hata sasa.
Pongezi kwao kwa kuweka mbele maslahi ya Watanzania wengi badala ya fedha.