Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Hahahaha ngoja tupewa gata muongozo bwana weweeeeeUnaweza tu kutangulia kuja ili tusubiri kwa pamoja mpaka hilo swala litakapoanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha ngoja tupewa gata muongozo bwana weweeeeeUnaweza tu kutangulia kuja ili tusubiri kwa pamoja mpaka hilo swala litakapoanza.
Wa kwanza "kuleft" (to leave the platform) atakuwa johnthebaptist 😀 😀 😀 😀 😀 😀Nafikiri, ingeweza kuwa na manufaa kwa JF kama taasisi, lakini isingekuwa na faida kwa Watanzania wengi.
1. Wana Afrika Mashariki wengi: Wakenya, Waganda, Wanyarwanda, n.k., wangeweza kujiunga na JF. Na Watanzania wangekuwapo pia ila idadi ingekuwa ndogo sana.
2. Ingekuwa na watumiaji wengi toka sehemu mbalimbali duniani zaidi ya ilivyo sasa.
3. Lingekuwa na members wengi zaidi ya ilivyo sasa.
Ingawa ingeweza kuwa na faida nyingi kwa JF kama taasisi, lakini sipendekezi wabadilishe uwe mtandao wa English. Kama walivyoinesha uzalendo tokea mwanzo, waendelee nao hata sasa.
Pongezi kwao kwa kuweka mbele maslahi ya Watanzania wengi badala ya fedha.
Wasiwasi wangu,wasije wenzako wakakuwahi.Hahahaha ngoja tupewa gata muongozo bwana weweeeee
kama yangu nitaikuta tu sina paparaWasiwasi wangu,wasije wenzako wakakuwahi.
Ni Kweli mimi siyo Mtumwa 😂😂
Sweden huwezi ku graduate University ??? (sikumbuki ni level gani) kama umeshindwa kiingereza, nao ni watumwa?Ni Kweli mimi siyo Mtumwa 😂😂
Mwenyekiti wako kakimbilia tena Dubai mwambie Sabaya anamzoom 🐼
Huo ni utumwa wa Lugha bwasheeSweden huwezi ku graduate University ??? (sikumbuki ni level gani) kama umeshindwa kiingereza, nao ni watumwa?
Sabaya anaweza kurudi lkn safari hii "atakufa"
International Language ni utumwa? Toyota Vx mbona ni bora kuliko IST? VX Ina qualities a kimataifa.. Kiingereza hivyo hivyo. Sema tukijenge Kiswahili kifikie International level!@Huo ni utumwa wa Lugha bwashee
Mbona Wewe unaongea kimachame na Tindo anaongea kirombo na wote mna maisha mazuri tu hapo Chadema 😀😀
Kiswahili Kiko International kitambo pale SOAS UK wanafundisha kiswahili zaidi ya Miaka 40 sasa 😀International Language ni utumwa? Toyota Vx mbona ni bora kuliko IST? VX Ina qualities a kimataifa.. Kiingereza hivyo hivyo. Sema tukijenge Kiswahili kifikie International level!@
Kinaanza kuwa...... at its infancy stageKiswahili Kiko International kitambo pale SOAS UK wanafundisha kiswahili zaidi ya Miaka 40 sasa 😀
Hope urassa proton pump dronedrake Poor Brain tungehama nchiKuna watu wasingekua Wana comment [emoji23][emoji23]
Mfano
GENTAMYCINE
Scars
Lupweko [emoji23][emoji23]
I think, it could be useful for JF as an institution, but it would not be useful for many Tanzanians.
1. Many East Africans: Kenyans, Ugandans, Rwandans, etc., could join JF. And Tanzanians would be there too but the number would be very small.
2. It would have more users from different parts of the world than it is now.
3. It would have more members than it is now.
Although it could have many benefits for JF as an institution, but I do not recommend that they change it to an English network. As they promoted patriotism from the beginning, let them continue with it even now.
Kudos to them for putting forward the interests of many Tanzanians instead of money. Source : google translator
Hao wengine sina uhakika, ila Gentamycine anakimanya sana Kimombo!Kuna watu wasingekua Wana comment [emoji23][emoji23]
Mfano
GENTAMYCINE
Scars
Lupweko [emoji23][emoji23]
Mii ndo ningekua napita na emoj tu