Ingekuwaje kama Kiingereza kingefanywa lugha ya JF?

Wa kwanza "kuleft" (to leave the platform) atakuwa johnthebaptist 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Ni Kweli mimi siyo Mtumwa 😂😂

Mwenyekiti wako kakimbilia tena Dubai mwambie Sabaya anamzoom 🐼
Sweden huwezi ku graduate University ??? (sikumbuki ni level gani) kama umeshindwa kiingereza, nao ni watumwa?

Sabaya anaweza kurudi lkn safari hii "atakufa"
 
Sweden huwezi ku graduate University ??? (sikumbuki ni level gani) kama umeshindwa kiingereza, nao ni watumwa?

Sabaya anaweza kurudi lkn safari hii "atakufa"
Huo ni utumwa wa Lugha bwashee

Mbona Wewe unaongea kimachame na Tindo anaongea kirombo na wote mna maisha mazuri tu hapo Chadema 😀😀
 
Huo ni utumwa wa Lugha bwashee

Mbona Wewe unaongea kimachame na Tindo anaongea kirombo na wote mna maisha mazuri tu hapo Chadema 😀😀
International Language ni utumwa? Toyota Vx mbona ni bora kuliko IST? VX Ina qualities a kimataifa.. Kiingereza hivyo hivyo. Sema tukijenge Kiswahili kifikie International level!@
 
International Language ni utumwa? Toyota Vx mbona ni bora kuliko IST? VX Ina qualities a kimataifa.. Kiingereza hivyo hivyo. Sema tukijenge Kiswahili kifikie International level!@
Kiswahili Kiko International kitambo pale SOAS UK wanafundisha kiswahili zaidi ya Miaka 40 sasa 😀
 

Ingependeza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…