Ingekuwaje Peter Zakaria asingejitetea kwa bastola alipotekwa mwaka 2018?

Ingekuwaje Peter Zakaria asingejitetea kwa bastola alipotekwa mwaka 2018?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Ninakumbuka jinsi hiyo habari ilivyopa vya vyombo vya habari mwaka 2018.

Peter Zakaria, mfanyabiashara wa mabasi na vituo vya mafuta, akiwa kwenye moja ya Sheli zake, alivamiwa na watu waliokuwa kufahamika baadaye kuwa ni Afisa Usalama wa Taifa na kujaribu kumtekae
Hao "watekaji" walijihami kwanza kwa kumpokonya bastola, lakini jambo ambalo hawakulijua ni kuwa Zakaria alikuwa na bastola nyingine. Katika harakati za kujitetea, aliitumia hiyo bastola, na kwa kiasi fulani, ilimasiaida watekaji wasiweze kumpaleka kusikojulikana.

Baadaye Polisi walipofika, walimchukua Zakaria na kumpeleka kituo cha Polisi, huku maofisa waliojeruhiwa wakipelekwa hospitalini.

Lengo la jaribio la kumteka lilikuwa ni nini?

Ingekuwaje kama hao watekaji wangefanikiwa kuondoka naye bila kufahamika kuwa ni Maafisa Usalama wa Taifa?

- Peter Zakaria aanza kurudisha mali zote alizonunua yeye na mkewe serikalini

 
Ninakumbuka jinsi hiyo habari ilivyopa vya vyombo vya habari mwaka 2018.

Peter Zakaria, mfanyabiashara wa mabasi na vituo vya mafuta, akiwa kwenye moja ya Sheli zake, alivamiwa na watu waliokuwa kufahamika baadaye kuwa ni Afisa Usalama wa Taifa na kujaribu kumtekae
Hao "watekaji" walijihami kwanza kwa kumpokonya bastola, lakini jambo ambalo hawakulijua ni kuwa Zakaria alikuwa na bastola nyingine. Katika harakati za kujitetea, aliitumia hiyo bastola, na kwa kiasi fulani, ilimasiaida watekaji wasiweze kumpaleka kusikojulikana.

Baadaye Polisi walipofika, walimchukua Zakaria na kumpeleka kituo cha Polisi, huku maofisa waliojeruhiwa wakipelekwa hospitalini.

Lengo la jaribio la kumteka lilikuwa ni nini?

Ingekuwaje kama hao watekaji wangefanikiwa kuondoka naye bila kufahamika kuwa ni Maafisa Usalama wa Taifa?
Hivi hii ishu iliishaje?
 
Ninakumbuka jinsi hiyo habari ilivyopa vya vyombo vya habari mwaka 2018.

Peter Zakaria, mfanyabiashara wa mabasi na vituo vya mafuta, akiwa kwenye moja ya Sheli zake, alivamiwa na watu waliokuwa kufahamika baadaye kuwa ni Afisa Usalama wa Taifa na kujaribu kumtekae
Hao "watekaji" walijihami kwanza kwa kumpokonya bastola, lakini jambo ambalo hawakulijua ni kuwa Zakaria alikuwa na bastola nyingine. Katika harakati za kujitetea, aliitumia hiyo bastola, na kwa kiasi fulani, ilimasiaida watekaji wasiweze kumpaleka kusikojulikana.

Baadaye Polisi walipofika, walimchukua Zakaria na kumpeleka kituo cha Polisi, huku maofisa waliojeruhiwa wakipelekwa hospitalini.

Lengo la jaribio la kumteka lilikuwa ni nini?

Ingekuwaje kama hao watekaji wangefanikiwa kuondoka naye bila kufahamika kuwa ni Maafisa Usalama wa Taifa?
Msalimie Mwamposa
 
Wote tunaamini mola mlezi hakupanga hilo litokee ndiyo maana alimtoa salama Zakaria.

Lakini pia hili si jambo jema kwa wananchi wa Tanzania kusikia habari hizi za utekaji, hii ni kuhatarisha maisha ya mtanzania na kuleta hofu ya kuendelea kuishi katika makazi hayo. Tunahitaji mabadiliko.
 
Uyu mwamba acheki cheki
 

Attachments

  • zakaripic.jpg
    zakaripic.jpg
    111.9 KB · Views: 13
Sisi mmoja alikuwa anajikuta mnaa wakati wa mfalme marehemu jiwe tukadili na mkewe, tulimla nyuma mbele afu tukamtumia jamaa video
ACHA KUWAKA TAMAA ZA NGONO KISASI NI JUU YA YESU KRISTO LAKINI DHAMBI YA ZINAA NI MAUTI
 
Back
Top Bottom