Ingekuwaje Peter Zakaria asingejitetea kwa bastola alipotekwa mwaka 2018?

Ingekuwaje Peter Zakaria asingejitetea kwa bastola alipotekwa mwaka 2018?

HAPANA ULINZI WA MAISHA YAKO UKO KWA YESU KRISTO PEKEE WEWE HUJIULIZI KWANINI WENGINE WAGONJWA MA HOSPITAL NA HAWAJIOKOI KWA MIKONO YAO MPAKA WANAKUFA
Huyo Yesu anashindwa kuwaokoa maelfu ya watoto wanaokufa kwa magonjwa, njaa, vita, majanga ya asili n.k

Halafu ndio unasema anaokoa?

Huyo Yesu hajawahi kuokoa chochote kile kwa vile Hayupo na hajawahi kuwepo.
 
HAPANA ULINZI WA MAISHA YAKO UKO KWA YESU KRISTO PEKEE WEWE HUJIULIZI KWANINI WENGINE WAGONJWA MA HOSPITAL NA HAWAJIOKOI KWA MIKONO YAO MPAKA WANAKUFA
Some time tunamchosha MUNGU bro!
MUNGU Amesha kupa Silaha+MIKONO+Akili+miguu KATIKA YOOTE Kakuumbia DHAMIRA NJEMA NDANI YAKO!;
Na angetekwa na huku anazo Pistor na hakuzitumia walahi Huyo angeenda finnar jehannam halidina fiha Abada🔥
👇👇
Revelation 21:8
[8]Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili. Maono ya Yerusalemu Mpya
 
Back
Top Bottom