Ingelikuwa mishahara ya kazi zote inafanana ungechagua kazi gani?

Ingelikuwa mishahara ya kazi zote inafanana ungechagua kazi gani?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kwa mfano assume labda tungekuwaga tukifika umri wa kuanza kazi unachagua fani moja tu Unayotaka na fani zote mishahara yake ndo ileile tufanye hata million nne kwa mwezi na hakuna cha posho wala nyongeza ni wewe tu kuchagua chaguo lako na moja Kwa moja unapelekwa kituo cha kazi kuanza kazi utakayoifanya.

Binafsi mimi ningechagua kukaa jikoni katika hotel moja kubwa na kazi yangu iwe ni kuwakatia viungo jikoni yaani cheo kiwe mtaalam wa kukatakata Nyanya, vitunguu, carrots, bamia, hoho, biringanya, matunda na mboga za majani. Sijui kachumbari imeagizwa huko mimi ndo in charge wake. Huko ndiko passion yangu ilipo niwe tu mkweli.

IMG_20210703_125151.jpg
FB_IMG_1714431145304.jpg
DSC_0588.JPG
IMG_20210707_200118.jpg
 
Mkuu ukahaba wa kiume ni kazi au tabia.. Elewa maana ya kazi.. Kazi RASMI.
Kuna watu wanaishi kwa ukahaba kama kazi, shauri yako sasa.

Halafu wewe si umeuliza swali sasa mbona unachagulia watu kazi tena.
 
Mkuu lakini
0. Rais
1. Wizara ya madini
2. Wizara ya maliasili.
3.Boss wa TISS
lakini ikumbukwe mshahara ndo huohuo mmoja halafu tutoke kwenye hivyi vyeo vya kisiasa nipe option kwenye fani kama fani... Usanii, uchoraji, uinjinia, uvuvi, kuongoza watalii, dereva n. K
 
Mkuu lakini
0. Rais
1. Wizara ya madini
2. Wizara ya maliasili.
3.Boss wa TISS
lakini ikumbukwe mshahara ndo huohuo mmoja halafu tutoke kwenye hivyi vyeo vya kisiasa nipe option kwenye fani kama fani... Usanii, uchoraji, uinjinia, uvuvi, kuongoza watalii, dereva n. K
 
Kwa mfano assume labda tungekuwaga tukifika umri wa kuanza kazi unachagua fani moja tu Unayotaka na fani zote mishahara yake ndo ileile tufanye hata million nne kwa mwezi na hakuna cha posho wala nyongeza ni wewe tu kuchagua chaguo lako na moja Kwa moja unapelekwa kituo cha kazi kuanza kazi utakayoifanya.

Binafsi mimi ningechagua kukaa jikoni katika hotel moja kubwa na kazi yangu iwe ni kuwakatia viungo jikoni yaani cheo kiwe mtaalam wa kukatakata Nyanya, vitunguu, carrots, bamia, hoho, biringanya, matunda na mboga za majani. Sijui kachumbari imeagizwa huko mimi ndo in charge wake. Huko ndiko passion yangu ilipo niwe tu mkweli.

View attachment 3046067View attachment 3046069View attachment 3046068View attachment 3046071
MGAMBO WA JIJI.
Hivi viongozi hawaoni aibu wakienda ulaya hakuna biashara zinazopangwa chini, hao wanasiasa wa huko wanapigiwaje kura?
Hivi lazma mboga za majani zipangwe juu ya kinyesi kariakoo?
hivi lazma juisi ya miwa ikamuliwe nakuchanganywa na mabarafu yaligandishwa na maji ambayo hayajachwemshwa?
hivi lazma abiria wagombanie daldala badala ya kupanga foleni na kila daladala iingoa kituoni?
Hivi lamz a utoe rushwa kupata summons?
Lamza utoe rushwa kupewa tarehe yako ya kesi?
Hivi kwanini viwanja vinabadilishwa matumizi?
Masaki ni makazi, miji mingine iwe biashara?
 
kada za IT
vzr sana ila mkuu naiman ni kazi ambayo pia unachoka wakati mwingine kitu unaweza kuwa una interest nacho kama hukifanyi ila ukianza kukifanya ukakiozea unaona cha kawaida. Sasa angalia IT isije kuwa inakuumiza macho hio computer mwanga wake.. Sorry mkuu na je Kwa upande wa kazi za kufanya outdoor yaani site huko sio desk work ungetaman ufanye ipi?
 
Back
Top Bottom