monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Hiyo ndinga inauzwa 140 millions ikiwa mpya!Mkuu samahani kama hutojali naomba kujua bei ya hii gari TOYOTA LAND CRUISER PRADO TX, this is my dream car afe kipa afe beki one day lazima nije niimiliki.
Naamini una uzoefu wa bei za magari
Naomba msaada price yake ikiwa
Mpya - 0km
Na ikiwa used
Asante kama utanijibu.View attachment 1264602
milioni sita netLete ofa ya kumshawoshi bosi akuachie gari, ipo sokoni.View attachment 1206847
Acha danganya watu. 2017 DDB wakati DDB ni 2013Milion 9 gari mpya kabisa nilinunua toka japani 2017 View attachment 1292009View attachment 1292010View attachment 1292011View attachment 1292012
Sent using Jamii Forums mobile app
no sijasema manufactured year ila nimesema muhusika aliinunua japan moja kwa moja mwaka 2017
DDB imesajiliwa bongo 2015, we umenunuaje jioga 2017???Milion 9 gari mpya kabisa nilinunua toka japani 2017 View attachment 1292009View attachment 1292010View attachment 1292011View attachment 1292012
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo, DDB ni namba ya 2015, huyo kanunuaje japan 2017???no sijasema manufactured year ila nimesema muhusika aliinunua japan moja kwa moja mwaka 2017
Sent using Jamii Forums mobile app
Page ya 3 nimeona gari amepost ndugu yetu toyota IST imechorwa kwenye kioo 5.5M
ila boss kubwa hapa yeye tangazo lake kaweka 7M
View attachment 1269277
Tunzo Qualitycars,
For what I understand, INSURANCE is not transferable.
gari ya ndoto yangu sijaiona.Hizo ni sample
Hii gari iliniumiza kichwa sana nilivyoiona insta.TOYOTA LAND CRUISER PRADO BOX.
UPGRADE KUWA LX ILA NI PRADO BOX
ENGINE-1KZ.
FUEL-DIESEL.
GEAR-MANUAL.
FULL AC.
FULL DOCUMENTS.
HAIJAWAHI KUGONGWA.
TAIRI MPYA ZOTE ZIMEWEKWA.
RIMS SPORTS KALI.
MZKI MKALI NDANI.
HAIGONGII CHINI KABISA.
PRICE-31 MILLION (WAZEE NDANI TUNAKULA VIZURI KABISA.).
NAONGEA NA TAJIRI KABISA.
LOCATION-DAR.
KARIBUNIView attachment 1297344View attachment 1297345
Sent using Jamii Forums mobile app
Ractiz (DKB)
Cc 1290
Km 87000
Year 2007
Bei 7.8
Mawasiliano 0713415537
View attachment 1304249View attachment 1304250View attachment 1304251View attachment 1304252View attachment 1304253View attachment 1304254View attachment 1304255View attachment 1304256
Sent using Jamii Forums mobile app
We unaiona million 3 ndogo sio! Acha tuendelee na ufala, 3M hio hio inaweza kulipa school fees za watoto wawili mwaka mzima wakasoma bila kubugudhiwa na walimu.Ni ufala kununua gari used Tz kwa tofauti ya milioni 1 hadi 3 kuagiza
Shida sio kununua million 3! Shida ni kulilipia ushuru bandarini.Watanzania ndio maana hatuendelei, mtu anaenda japan kulinunua gari kwa milioni 3 analileta bongo analiuza milioni 10 mpaka 15...hii ni dhuluma kabisa..mleta mada kama na wewe uko hivyo acha..