Injili na Qur'an ni Neno la Mungu siyo makaratasi yanayoshikika mkononi!

Injili na Qur'an ni Neno la Mungu siyo makaratasi yanayoshikika mkononi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni swala la uelewa tu na wala halihitaji nguvu kubwa wala kutunisha msuli.

Ni kwamba hakuna binadamu mwenye uwezo wa kulichanachana au kulichoma moto NENO la Mungu.

Kwahiyo tusikuze mambo ambayo kimsingi tulipaswa kuyapuuza. Si vema, busara wala haki kuruhusu mihemko ya kidini isiyo ya lazima.

Mungu wa mbinguni awabariki!
 
Ni swala la uelewa tu na wala halihitaji nguvu kubwa wala kutunisha msuli.

Ni kwamba hakuna binadamu mwenye uwezo wa kulichanachana au kulichoma moto NENO la Mungu.

Kwahiyo tusikuze mambo ambayo kimsingi tulipaswa kuyapuuza. Si vema, busara wala haki kuruhusu mihemko ya kidini isiyo ya lazima.

Mungu wa mbinguni awabariki!
Unajua mleta mada.
Hata kama ajira yako kwa sasa iko humu kwenye keyboard.kwa malengo maalum ya ufitinishi.lakini sio lazima kila mada uwe mpinzani.

Lakini pia sio kila mada uwe unachangia.

Mada zinazohusu mambo ya itikadi za kiimani ni vema kuziacha pale unapoona uchangiaji wako unaweza kuzua hisia na hata hasira kali kwa baadhi ya wenzako.

Tujaribu kujielewa na tuache kujitoa akili kwa masuala ya kiimani.
Mleta mada kwa hili umeonyesha ujinga wako.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua mleta mada.
Hata kama ajira yako kwa sasa iko humu kwenye keyboard.kwa malengo maalum ya ufitinishi.lakini sio lazima kila mada uwe mpinzani.

Lakini pia sio kila mada uwe unachangia.

Mada zinazohusu mambo ya itikadi za kiimani ni vema kuziacha pale unapoona uchangiaji wako unaweza kuzua hisia na hata hasira kali kwa baadhi ya wenzako.

Tujaribu kujielewa na tuache kujitoa akili kwa masuala ya kiimani.
Mleta mada kwa hili umeonyesha ujinga wako.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wa mbinguni akusamehe kwa kuwa hujui usemalo!
 
Ni swala la uelewa tu na wala halihitaji nguvu kubwa wala kutunisha msuli.

Ni kwamba hakuna binadamu mwenye uwezo wa kulichanachana au kulichoma moto NENO la Mungu.

Kwahiyo tusikuze mambo ambayo kimsingi tulipaswa kuyapuuza. Si vema, busara wala haki kuruhusu mihemko ya kidini isiyo ya lazima.

Mungu wa mbinguni awabariki!
Mkuu ikitokea biblia imechanwa unafikiri wakristo watakaa kimya??? Et sababu yale ni makaratasi tu
 
Ni swala la uelewa tu na wala halihitaji nguvu kubwa wala kutunisha msuli.

Ni kwamba hakuna binadamu mwenye uwezo wa kulichanachana au kulichoma moto NENO la Mungu.

Kwahiyo tusikuze mambo ambayo kimsingi tulipaswa kuyapuuza. Si vema, busara wala haki kuruhusu mihemko ya kidini isiyo ya lazima.

Mungu wa mbinguni awabariki!
Mungu wa kweli hawezi kuwa na vitabu viwili kwa watu hao hao aliowaumba yeye. Either both of them are fictitious stories or one of them is a fictitious story book!
 
Inakuwaje yote yawe maandishi ya Mungu lakini yanapingana???

Au wanaoamini upande A wanapinga upande B??? Na wanaoamini upande B wanapinga upande A??



#Bagwell
 
Mkuu maandishi yaliyopo kwenye karatasi yana thamani kubwa kuliko uhai wa binadamu hata wewe asaiv hapo ukinunua kitabu cha hadithi ya sungura na fisi ukakichana hadharani lazima ufukuzwe kazi na jela utaenda, labda ukichane ukiwa chumbani peke yako.
 
Back
Top Bottom