ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Alitakiwa kuondoa ule mpira pale zile mbwembwe zilikua za nini wakati amegeukia golini kwake?Lile bao limeanzia kwa Zimbwe, huyu Inonga mnamsingizia hapa, khaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitakiwa kuondoa ule mpira pale zile mbwembwe zilikua za nini wakati amegeukia golini kwake?Lile bao limeanzia kwa Zimbwe, huyu Inonga mnamsingizia hapa, khaah
Ndo faza wa timu huyo yeye na mzee Chama utawafanya nini?Huyo mchezaji amekuwa akichomesha mara kwa mara.
Kwani kocha anamwamini sana,
INONGA ametucost.
Wewe unasemaga ushabiki wa mpira ni ujingaSaido kapoteza nafasi nne za wazi kabisa.
Kanute kapoteza nafasi tatu.
Bado lawama zinaenda kwa Inonga!!!???
JE HAO WANAOLETA MAGALASA YA AKINA JOBE ,SAIDO, BABAKAR, FREDY, MIQUESSON, SAWADOGO, OKWA, OKRA,
FIKICHA AKILI.
Moja ya sifa za mwanaume ni msimamo wewe hunaSaido kapoteza nafasi nne za wazi kabisa.
Kanute kapoteza nafasi tatu.
Bado lawama zinaenda kwa Inonga!!!???
JE HAO WANAOLETA MAGALASA YA AKINA JOBE ,SAIDO, BABAKAR, FREDY, MIQUESSON, SAWADOGO, OKWA, OKRA,
FIKICHA AKILI.