Inonga anaiheshimisha NBC Premier League

Inonga anaiheshimisha NBC Premier League

🤣🤣🤣🤣huku nikulazimisha furaha hata ambapo haipo!, Hiyo heshima ije kupitia timu ya Congo?.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huku nikulazimisha furaha hata ambapo haipo!, Hiyo heshima ije kupitia timu ya Congo?.
Kupitia Inonga mkuu soma vizuri utaelewa
 
Kwakweli sio jambo dogo, sisi wacha tubebe kombe la Azam federation na NBC league kama kawaida yetu. Kila mmoja ana mafanikio ya aina yake
Hiyo haimzuii wala haibadilishi kitu chochote kuhusu Inonga kuwa mchezaji pekee kutoka ligi kuu ya Tanzania bara kucheza nusu fainali ya Afcon
Na anaenda kutwaa pia kombe hilo ili sisi wanasimba tujivunie na tuweke katika mafanikio yetu ya msimu huu
 
Simba walivyo mapimbi wanauza mchezaji kama huyu, unapotaka kuwa timu nzuri, bakiza wachezaji wako bora inapotokea kuuza uza kwa timu ambayo ni bora zaidi yaani hadhi ya timu inakufanya usiweze mzuia mchezaji.
Kwa miaka ya karibuni far rabat na simba, simba ni kubwa. Simba ilipofikia inabidi iporwe mchezaji na mamelodi, wydad, al ahly huko. Kibaya zaidi wameuza bei ya kawaida tu.
Nakumbuka mo alipokuwa akijipigia debe kupata hisa za Simba, alikuwa akiilaumu kuuza wachezaji wake wazuri na akasema anataka Simba iwe Kama Mazembe au Al haily matokeo yake tangia aingie anatongoza kuuza wachezaji Tena hata Bei anaficha.
 
Back
Top Bottom