Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Natoa pole kwa beki wangu Inonga Baka, kitendo kilichofanywa na Hijja Ugando mchezaji wa zamani wa Simba hakikuwa cha makusudi wala dhamira ovu, Ugando alikuwa katika pilika za kumtoka Inonga ili akamuona Ayoub, Inonga wakati anataka kuondosha ball akakumbana na ajali kazini.
Binafsi nimekuwa nikimshuhudia sana Inonga akicheza kwa madoido na madaha, akicheza na jukwaa wamshangilie, mara kupiga chenga mahali pasipotakiwa kupiga chenga basi ali mradi tu akae nao mpira.
Uchezaji wake unamsababishia sana ajeruhiwe tofauti na Kennedy Juma au Che Fondoh Malone, uchezaji wa wawili hao ni nadra sana kuumia, hawana mbwembwe wala nn, wao ni kazi kama Joash Onyango.
Bro punguza mbwembwe utaumia sana msimu huu
Binafsi nimekuwa nikimshuhudia sana Inonga akicheza kwa madoido na madaha, akicheza na jukwaa wamshangilie, mara kupiga chenga mahali pasipotakiwa kupiga chenga basi ali mradi tu akae nao mpira.
Uchezaji wake unamsababishia sana ajeruhiwe tofauti na Kennedy Juma au Che Fondoh Malone, uchezaji wa wawili hao ni nadra sana kuumia, hawana mbwembwe wala nn, wao ni kazi kama Joash Onyango.
Bro punguza mbwembwe utaumia sana msimu huu