Diazepam
JF-Expert Member
- Dec 3, 2020
- 1,263
- 3,523
Nahisi wewe sio shabiki wa simba mkuu.Okra na okwa bora kapama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi wewe sio shabiki wa simba mkuu.Okra na okwa bora kapama
Huyu dogo ana utoto mwingi sanaa, anadekadeka sana!anapenda kujiona yy ndo kila kitu kuliko wenzie!!atawacost sanaaaHuyu jamaa nilijua kuna siku ataigharimu Simba na hilo limetokea leo, kuanzia mwanzo wa mechi niliona namna anavyojiona yeye ndo yeye na alikuwa anafanya makosa ya kiufundi mengi, nilitegemea ataadhibiwa kwa ujinga wake, anapenda kucheza na jukwaa sana badala ya kufanya mambo ya muhimu.
Mayele leo kampa somo zuri sana kwamba anatakiwa kuwa makini na kuwa na utulivu, yote kwa yote nawapongeza Yanga wameonyesha hawakutwaa makombe yote msimu uliopita kwa bahati mbaya, walistahili na wanaendelea kuonyesha umwamba wao, quality quality quality quality🙌🙌🙌🙌
Mkuu angalia kwanza profile picture yake utajua ni nani huyo?Nahisi wewe sio shabiki wa simba mkuu.
mashabiki wa kolo na man u mtafika mbinguni mkiwa mmechoka sana mpaka nawahurumieni.Huyu jamaa nilijua kuna siku ataigharimu Simba na hilo limetokea leo, kuanzia mwanzo wa mechi niliona namna anavyojiona yeye ndo yeye na alikuwa anafanya makosa ya kiufundi mengi, nilitegemea ataadhibiwa kwa ujinga wake, anapenda kucheza na jukwaa sana badala ya kufanya mambo ya muhimu.
Mayele leo kampa somo zuri sana kwamba anatakiwa kuwa makini na kuwa na utulivu, yote kwa yote nawapongeza Yanga wameonyesha hawakutwaa makombe yote msimu uliopita kwa bahati mbaya, walistahili na wanaendelea kuonyesha umwamba wao, quality quality quality quality🙌🙌🙌🙌
hahahhhKafungishwa mdomo baada ya goli la pili kuanzia kwenye TOBO lake, kabla halijafika kwenye TOBO la Kakolanya
Waswahili nawakubali sana kwa misemo yenye kufikirisha, kuna msemo unasema " Mgema akisifiwa sana tembo hukitia maji" Ngoma ikivuma sana hupasuka"Huyu jamaa nilijua kuna siku ataigharimu Simba na hilo limetokea leo, kuanzia mwanzo wa mechi niliona namna anavyojiona yeye ndo yeye na alikuwa anafanya makosa ya kiufundi mengi, nilitegemea ataadhibiwa kwa ujinga wake, anapenda kucheza na jukwaa sana badala ya kufanya mambo ya muhimu.
Mayele leo kampa somo zuri sana kwamba anatakiwa kuwa makini na kuwa na utulivu, yote kwa yote nawapongeza Yanga wameonyesha hawakutwaa makombe yote msimu uliopita kwa bahati mbaya, walistahili na wanaendelea kuonyesha umwamba wao, quality quality quality quality🙌🙌🙌🙌
Si ndio hua anamkaba MayeleYaan wanavomsakama Inonga leo utadhan, kakosea pakubwa sanaaa, kwan mchezaji ni inonga pekee ake?? Lol