Inonga na Baleke wanaweza kupenya kikosi cha Yanga

Inonga na Baleke wanaweza kupenya kikosi cha Yanga

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kwa mpira uliochezwa na Kikosi Cha Yanga kilivyo Leo nimeamini kuwa sisi MAKOLO Bora tungehamia Zambia kama tulivyotaka kufanya enzi zile.

Kwa kikosi Mahiri Cha wananchi aliyeko nje ni moto, aliyeko ndani ni moto.

Kwa kikosi Chetu makolo ni baleke tu na inonga wanaweza kuingia kikosi Cha yanga [lakin watafaa kuokota mipira na sio kupata namba].

NB: Inonga na Baleke hawawezi kupata namba, labda kuokota mipira.

Unadhani mchezaji Gani mwingine?

IMG-20230501-WA0001.jpg
 
Wale malumo ni WA 13 kwenye msimamo wa league PSl. Nafasi ya 3 kutoka chini...

Hivi wangekuwa ni .

Olando.

Kaizercheez.

Au Mamelodi sijui ingekuwaje?????
 
Back
Top Bottom