Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa.Ukuta wa chuma
Mwamnyeto
Bacca
Job Dickson.
Wasso pekee nadhani ndiye alikuwa mchezaji wa kigeni1.Juma Kaseja,
2. Said Sued
3. Ramadhani Wasso,
4 . Boniface Pawassa
5. Victor Costa.
6. Alex Massawe,
7 Yusuph Macho musso.
8. Suleman Matola velone.
9. Emanuel Gabliel.
10. OTHMAN machupa.
11. Ulimboka Mwakingwe
Hiki ndio kikosi cha Simba kilichoivua ubingwa Zamalek nyumbani 2003
Eti beki wa Bundakilaza wa jf katoa tena boko[emoji1787][emoji1787] kwamba Christopher Alex alikuwaga beki[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Labda Christopher Alex wa Bunda
Eti beki wa Bundakilaza wa jf katoa tena boko[emoji1787][emoji1787] kwamba Christopher Alex alikuwaga beki[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Labda Christopher Alex wa Bunda
Yap yapWasso pekee nadhani ndiye alikuwa mchezaji wa kigeni
Ndo maan akajichubuaInongo hua anzingungua afu sikuizi akigiswa kidogo tu anaugulia maumivu kama dem hivi hua sielewi elewi pigo zake
IdiotJamaa anadhani ninaweza kumjibu UJINGA wake.
Nimeshatoka KIKOSI Cha Mnyama 2003
Kilichomtoa BINGWA mtegezi.
Christopher Alex masawe (6)
Mimi NIMEFUNDISHWA Hivi.
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.
Answer not a fool according to his folly, lest thou also be like unto him.
Proveb 26:4.
N
Daktari nae kaigiza km mtoto wa kike akamshona nyuzi 13.Inongo hua anzingungua afu sikuizi akigiswa kidogo tu anaugulia maumivu kama dem hivi hua sielewi elewi pigo zake
Kwenye kidonda kutumia nyuzi 13 sio kitu cha ajab sema mtaani mtaani mnaona kama kitu cha kutisha sana ila kawaida mbona izo idadi ya nyunzi ni ndogo tuDaktari nae kaigiza km mtoto wa kike akamshona nyuzi 13.
Mnafikiri kwa kutumia makalio/Mas*buri.
Mwongezee na Istanbul, Marakech, Bible college mkubwa!Pumbavu Wahed.
Jiandae kupopolewa mawe toka kwa waliopewa jina na ndugu Rage
shengo hakuanza?1.Juma Kaseja,
2. Said Sued
3. Ramadhani Wasso,
4 . Boniface Pawassa
5. Victor Costa.
6. Alex Massawe,
7 Yusuph Macho musso.
8. Suleman Matola velone.
9. Emanuel Gabliel.
10. OTHMAN machupa.
11. Ulimboka Mwakingwe
Hiki ndio kikosi cha Simba kilichoivua ubingwa Zamalek nyumbani 2003
Na mara nyingi alicheza nafasi ya beki. Msamehe tu huyu kijana mkuu, vijana wengi siku hizi wanachambua mpira au wachezaji wa zamani wakati hawamjui hata Ezekieli Malango mzee wa gozi gambani Nyani wa Manyara. Huwa nikiwa nabishana na mtu halafu nikagundua hamjui Ezekieli Malongo nasitisha zoezi la kubishana maana naona bado ni mbichi kwenye medani. Endelea kulijenga jiji la Mungu mkuu.Pumbavu Marehemu Christopher Alex Massawe alikuwa ni Kiungo na Beki na kuonyesha kuwa huna Akili na kamwe huniwezi tafuta Mechi za Simba SC kipindi kile hasa Kiungo na aliyekuwa Beki Namba Tano pia Patrick Betwel Buba Masai alipoumia Christopher Alex Massawe alicheza namba ipi.
Kama Mimi ni Jinga la JF Wewe ni Pumbavu Mwandamizi wa JamiiForums.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Mpuuzi kama CAPO DELGADO hawezi Kujua / Kulijua hili na anadhani GENTAMYCINE ni Level yake, nimeanza kufuatilia Mpira leo na ile Tuzo yangu hapa JamiiForums ya Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo ( Sports ) niliipata kwa bahati mbaya au kwa Kubahatisha tu.Na mara nyingi alicheza nafasi ya beki. Msamehe tu huyu kijana mkuu, vijana wengi siku hizi wanachambua mpira au wachezaji wa zamani wakati hawamjui hata Ezekieli Malango mzee wa gozi gambani Nyani wa Manyara. Huwa nikiwa nabishana na mtu halafu nikagundua hamjui Ezekieli Malongo nasitisha zoezi la kubishana maana naona bado ni mbichi kwenye medani. Endelea kulijenga jiji la Mungu mkuu.