Insect spy drone

Sisi tumekalia kung'oa meno ya Ndovu tu.
 
Hata Osama walijua alipo baada ya kuwapa watoto chanjo pakistan, DNA ya mtoto mwenye uhusiano na Osama ika alert usa position
 
nimependa jinsi kalivyo....
btw Boflo hiyo avatar...mhhhh
 
Last edited by a moderator:
Hata sisi kama tungeitumia vizuri technology ya kuruka kwa ungo na ile ya TV ya asili tungekuwa mbali sana

Umeona eeh!! vipo vingi tu ambavyo kama tungevitila maanani nao wangekuwa wanatuonea gere!!
 
Hii kama fix vile
 
Nimesikia leo BBC ...huyo insect ana uwezo wa kupiga vijibawa vyake mara 120 kwa sekunde...What a speed!!!
Ukitazama movie ya G.I Joes utaelewa vizuri kuhusu shughuli ya wadudu hao.
 
Tunawazidi kwa mengi tu, kwa mfano sayansi ya kusafiri kwa ungo, matumizi ya ngozi za binadamu, nk
 
Sience fix movie/novel zote zinakuja kwenye life sasa!
It is next to impossible now to keep up with the speed ya innovations za wenzetu!
 

Huyo fake angalia hawa RoboBees



 
matokeo ya f IV... yametenguliWa TANZANIA....
 
kwani Kongosho kuanzia asubuhi mpaka jion unaongea mambo yale ya kibwaku? ha ha ha

Kinaua??
Maana wakisikiliza mazungumzo yangu kuanzia asubuhi hadi jioni watakufa kwa genye bure
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…