Inside a US transport taking off from Kabul

Inside a US transport taking off from Kabul

Hapo huwezi kujua, Taliban inaweza kupenyeza wafuasi wao pia kuingia Marekani kwa njia hiyo. Sina uhakika sana lakini huwezi kuwaamini wote eti wanakimbia vita.

Na siyo kwamba wananchi wa Afghanistan wanaichukia Taliban, naamini wengi wanaichukia Marekani kuliko Taliban ila fursa ikijitokeza kama hivyo ambapo hakuna muda wa background check, mabaharia wanaitumia vizuri sana.
Ni UONGO wa kutupwa huo jomba DALA fuatilia vyombo vya habari utawala huo ni tishio kila Askari ana maamuzi yake na kila raia hasa mwanamume ana maamuzi yake na hasa haki za wanawake tofauti na Saudia, Hawa wakimbizi wanahamishiwa Nchi za kiarabu
 
Hapo huwezi kujua, Taliban inaweza kupenyeza wafuasi wao pia kuingia Marekani kwa njia hiyo. Sina uhakika sana lakini huwezi kuwaamini wote eti wanakimbia vita.

Na siyo kwamba wananchi wa Afghanistan wanaichukia Taliban, naamini wengi wanaichukia Marekani kuliko Taliban ila fursa ikijitokeza kama hivyo ambapo hakuna muda wa background check, mabaharia wanaitumia vizuri sana.
Achana na Marekani kwenye haya mambo. They know what is going on...
 
Wanawatukana na kuwaita makafiri halafu wanakimbilia kwao ..hili dini ni tatizo tupu.
We chief acha dhihaka, unajua hao baada ya kuchukuliwa na hiyo ndege walipelekwa wapi? Kwa akili zako unahisi wamepelekwa Marekani sio? Walipekewa Qatar. Je Qatar ni Marekani?
 
wanakimbia utawala wa dini ya amani
Alokwambia wanakimbia utawala wa dini ni nani? Kama kitu hukijui ni bora kupuuzia tu, hivi ukiambiwa waasi unawajua kwanini wakaitwa waasi, lakini pia jiulize katika kuiteka hiyo miji umesikia kushambuliwa kwa raia yeyote au kuporwa na hao waasi?
Vita havichagui!
 
We chief acha dhihaka, unajua hao baada ya kuchukuliwa na hiyo ndege walipelekwa wapi? Kwa akili zako unahisi wamepelekwa Marekani sio? Walipekewa Qatar. Je Qatar ni Marekani?
Hao walidhani wataingizwa marekani lakin wameendwa kuachwa hapo na muda siyo mirefu watarudishwa kwenye nchi yao wakapambane na sheria zao maana hao Taliban waliwasupport hivyo ni lazima watarudishwa tu kibabe kwenda kula bakora mia mia
 
C tumekubaliana Uislamu ni dini ya haki, sasa hao wanakimbia nini
 
Alokwambia wanakimbia utawala wa dini ni nani? Kama kitu hukijui ni bora kupuuzia tu, hivi ukiambiwa waasi unawajua kwanini wakaitwa waasi, lakini pia jiulize katika kuiteka hiyo miji umesikia kushambuliwa kwa raia yeyote au kuporwa na hao waasi?
Vita havichagui!
Sasa mbona Waislamu ndio wanaoongoza kuua, kubaka, kuchinjana.?
 
Dini lenu ni la ajabu sana linaita wazungu makafiri wakati ndo linawategemea.
😂😂😂 Utamskia muislamu sitaki kula kitimoto ni haramu halafu huyo huyo unamkuta n mzinifu wa kunyonya pussy za mademu zake
 
Daah boss, kama kusoma hujui hata picha hauoni.?
Siku moja kabla Taleban hawajautia mikononi mwao mji mkuu wa Afghanistan, Marekani walikuwa wameshasoma upepo wakatangaza watapeleka ndege kwaajili ya kuwabeba raia wao.
Sasa hao wanaosemwa ni raia wao ni pamoja na mamluki wake. Jiulize rais kibaraka alikimbilia wapi? Jibu ni kwamba walimtorosha pamoja na hao mamluki wengine maana wanajua kitu ambayo ingeendelea kwao... Walishuka nchi moja hapo Arabuni alafu wakapanga mikakati ya kuwagawanya wale wa muhimu wakaondoka nao huku wale hohehahe kama sisi ambao walipanda kwa bahati mbaya ndio anakuja kuwamwaga hapo jirani Uganda

Unaweza usielewe lakini fikiria kwanini wananchi walikuwa wanatoa saport kwa Taleban mpaka Biden akalalamika? Kiujumla Taleban wanakubalika na waafganistani kuliko iliyokuwa serikali feki iliyowekwa na Marekani
 
Siku moja kabla Taleban hawajautia mikononi mwao mji mkuu wa Afghanistan, Marekani walikuwa wameshasoma upepo wakatangaza watapeleka ndege kwaajili ya kuwabeba raia wao.
Sasa hao wanaosemwa ni raia wao ni pamoja na mamluki wake. Jiulize rais kibaraka alikimbilia wapi? Jibu ni kwamba walimtorosha pamoja na hao mamluki wengine maana wanajua kitu ambayo ingeendelea kwao... Walishuka nchi moja hapo Arabuni alafu wakapanga mikakati ya kuwagawanya wale wa muhimu wakaondoka nao.

Unaweza usielewe lakini fikiria kwanini wananchi walikuwa wanatoa saport kwa Taleban mpaka Biden akalalamika? Kiujumla Taleban wanakubalika na waafganistani kuliko iliyokuwa serikali feki iliyowekwa na Marekani
Nmekuelewa
 
Siku moja kabla Taleban hawajautia mikononi mwao mji mkuu wa Afghanistan, Marekani walikuwa wameshasoma upepo wakatangaza watapeleka ndege kwaajili ya kuwabeba raia wao.
Sasa hao wanaosemwa ni raia wao ni pamoja na mamluki wake. Jiulize rais kibaraka alikimbilia wapi? Jibu ni kwamba walimtorosha pamoja na hao mamluki wengine maana wanajua kitu ambayo ingeendelea kwao... Walishuka nchi moja hapo Arabuni alafu wakapanga mikakati ya kuwagawanya wale wa muhimu wakaondoka nao huku wale hohehahe kama sisi ambao walipanda kwa bahati mbaya ndio anakuja kuwamwaga hapo jirani Uganda

Unaweza usielewe lakini fikiria kwanini wananchi walikuwa wanatoa saport kwa Taleban mpaka Biden akalalamika? Kiujumla Taleban wanakubalika na waafganistani kuliko iliyokuwa serikali feki iliyowekwa na Marekani
Daah mkuu zile clip za raia kuikimbiza hiyo ndege, raia kudandia ndege na kuanguka nyingine hiyo picha apo bado unasema raia wanaikubali taleban??

Hata kama ni izo propaganda mkuu kuna mda kweli ukweli uongo hujitenga. Mamia ya raia wanahamia nchi jiran. Na hapo juzi walipoutwaa mji wa kabul walirusu raia wanaotaka kusepa wasepe kwa amani, sasa kama wanakubalika kweli watasaje raia wanaotaka kuondoka waondoke ilhali wanajua wanapendwa, hao wa kusepa watatoka wapi kwa serikali pendwa.??

Inawezekana ni woga wa raia wakikumbuka yaliyopita labda, ila saiz naona wavaa kobazi wamekuja na njia tofauti labda sioni zile amsha wala vurugu zaidi ya panic ya wananchi.
 
Wamepelekwa QATAR na sio USA.
USA sio mjinga kiasi hicho kuingiza watu hovyo kwa ardhi yake.
Hapo huwezi kujua, Taliban inaweza kupenyeza wafuasi wao pia kuingia Marekani kwa njia hiyo. Sina uhakika sana lakini huwezi kuwaamini wote eti wanakimbia vita.

Na siyo kwamba wananchi wa Afghanistan wanaichukia Taliban, naamini wengi wanaichukia Marekani kuliko Taliban ila fursa ikijitokeza kama hivyo ambapo hakuna muda wa background check, mabaharia wanaitumia vizuri sana.
Sio rahisi kiivyo mzee! Kuna mchakato mrefu sana wa kupata kibali cha kuishi Marekani hasa kupitia njia ya ukimbizi. Unaweza kuchukua miaka 3 hadi 10 kufanikiwa. Kuna idara inaitwa USCIS ni balaa tupu
 
Marekani ana tabia ya kupenda kuweka vibaraka wake katika nchi mbali duniani, ukiangalia kwa jicho la tatu, middle east yote anataka kuweka vibaraka wake kitu ambacho hakiwezekani. Afghanistan yenyewe aliingia kwa gia ya kuwatoa Al Qaeda lakini akaenda mbali zaidi na kumweka rais kibaraka wake, Misri, Libya, Iraq huko kote ameweka vibaraka wake. Venezuela walikataa na hapo Afghanistan pia wamekataa, ukiangalia nchi zote marekani alizoweka vibaraka wake uchumi umedorora na pia hakuna maendeleo. Pia Marekani alipanga kuweka base zake katika nchi mbali mbali duniani ambapo Africa ana base Djibouti na Kenya nayo yupo mbioni kuweka ili kujiongezea wigo wa kuweza kupambana na yeyote yule duniani pindi atakapoona umuhimu wa kufanya hivyo.
 
Maswala ya kufumaniwa unazini eti kupigwa mawe ya kichwa hadi ufe 😂 kama sheria za kitabu cha kiarabu zinavyosema😄!

Mara mwanamke ni pambo haruhusiwi kufanya kazi aisee kile kitabu sheria zake ni ngumu sana aisee hasa katika ulimwengu wa utandawazi😎
Bek 3 kajipindua umekula mzigo adhabu viboko 100 tena inachapwa mbele na kurudishwa nyuma hiyo fimbo!!!hahaha ina maana ni viboko 200 inakuwa...hahaha jamaa anakuchapa fimbo kama mtu anavyokata majani na slesher
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Utamskia muislamu sitaki kula kitimoto ni haramu halafu huyo huyo unamkuta n mzinifu wa kunyonya pussy za mademu zake
Je kunywa bia na kuvuta bangi kwa sheria za Tanzania hivi vitu viko sawa?
 
Back
Top Bottom