Inspector Haroun aka Babu afanya kazi za ulinzi

Mtanzanika

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
2,389
Reaction score
1,131
Katika pitapita za mitaani nimepata kusikia haya ya kisemwa kwamba Babu - Mkali wa Rap Katuni amekuwa akijishughulisha na kulinda katika sehemu za kuegesha ama kulaza magari usiku huko Temeke.

Mwenye kujua ukweli wa hili ama tofauti na hili basi anitoe kizani tafadhali.
 
Inawezekana akawa anamiliki yard ya kupaki magari na ulinzi usiku kwa wale ambao makwetu hakurusu magari yetu kufika...au anamiliki kampuni ya ulinzi. Msimchukulie chiini kihivyo...
 
acha dharau....ww ndy una kazi nzuri sana....hata kama mchzi anapga kazi hyo poa tu as kila siku mkono unakwenda kinywani...
 
tunaolinda magari yenu msitudharau kiasi hiki, mimi ni mlinzi na najivunia kazi yangu nalinda mali za mamilioni kwa wakati mmoja,
 
o ho hooo mmm...mh! Mnachezea sharubu za babu?
 
Ulitaka akutoe kafara ww ndoufurahi maaana mziki now days unaongozwa na ushetani zaidi
 
Kama Mungu aishivyo na watotowako wakawe hivyo
 
Inauma sana kama ni kweli, Naomba usiwe kweli jamaa namuheshimu sana kwa kazi zake za zamani.!
 

Babaako anafanya kazi gani? Tuwekee na picha ya baba yako/ mama yako wakiwa kazini..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…