Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
jamaa kajitahidi kuvumilia kutoka mwanza mpaka WCB
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My Godnessnakumbuka enzi hizo yuko active JF alikua ananipenda mwenyewe
ningemkubaliaga labda sa hivi ningekuwa natokea tokea kwenye video za WCB lol
Heaven on earth = Heaven on desertnakumbuka enzi hizo yuko active JF alikua ananipenda mwenyewe
ningemkubaliaga labda sa hivi ningekuwa natokea tokea kwenye video za WCB lol
Sidhani kama aliufikia upendo wangu kwakonakumbuka enzi hizo yuko active JF alikua ananipenda mwenyewe
ningemkubaliaga labda sa hivi ningekuwa natokea tokea kwenye video za WCB lol
Ndio uanze kutupenda underground sasa.. Anza na mimi kwa mkazo [emoji7]nakumbuka enzi hizo yuko active JF alikua ananipenda mwenyewe
ningemkubaliaga labda sa hivi ningekuwa natokea tokea kwenye video za WCB lol
nakumbuka enzi hizo yuko active JF alikua ananipenda mwenyewe
ningemkubaliaga labda sa hivi ningekuwa natokea tokea kwenye video za WCB lol
nakumbuka enzi hizo yuko active JF alikua ananipenda mwenyewe
ningemkubaliaga labda sa hivi ningekuwa natokea tokea kwenye video za WCB lol
SIjafungua hiyo clip,nimeona title tu kwamba wakati anaanza Dimondi alikuwa anamlpia elfu 5 sasa nauliza kwani kwa sasa anamlipa milioni ngapi?Wewe fukara una roho mbaya ndio maana unazeeka unaoga vumbi.
Alikuwa anatumia jina gani humu?nakumbuka enzi hizo yuko active JF alikua ananipenda mwenyewe
ningemkubaliaga labda sa hivi ningekuwa natokea tokea kwenye video za WCB lol
heaven on desertAlikuwa anatumia jina gani humu?
Ndio zenu huwa mnajutaga baadae baada ya kumkataa MTU saivi ukimwona tu pichu inaloa unajiambia "yaaaaani...."nakumbuka enzi hizo yuko active JF alikua ananipenda mwenyewe
ningemkubaliaga labda sa hivi ningekuwa natokea tokea kwenye video za WCB lol
teh teh alikuwa hadi ana kuanzishia thread...laiti angelikuwa ana kufahamu asingelikata tamaa..nakumbuka enzi hizo yuko active JF alikua ananipenda mwenyewe
ningemkubaliaga labda sa hivi ningekuwa natokea tokea kwenye video za WCB lol
B I G ndo siku yake leo auWCB ndio wadudu gani?
Rest in peace Christopher Wallece A.k.A Notorious BIG
Alitumia jina ganiIla ana sifa sana apunguze kidogo,nakumbuka kipindi yupo active alikua anashushuliwa humu[emoji23][emoji23][emoji23]