InstaBrute - Instagram bruteforce exploit module.

Wewe unafanya makusudi kupotosha kwa kuinsist just a bruteforce. Nikuulize, ukiambiwa ukaue jambazi kwa kutumia bunduki, maarifa pekee utakayokuwa unatumia ni kufyatua risasi? Kama utahitaji skills zingine in combination na kutumia bunduki ni zipi?
 
Wewe unafanya makusudi kupotosha kwa kuinsist just a bruteforce. Nikuulize, ukiambiwa ukaue jambazi kwa kutumia bunduki, maarifa pekee utakayokuwa unatumia ni kufyatua risasi? Kama utahitaji skills zingine in combination na kutumia bunduki ni zipi?
Soma bandiko la muanzisha thread soma comments za wadau za mwanzo na majibu yake...
Narudia hakuna mtu anayesema kuna system yoyote ambayo haiwezi kuwa hacked, kama yupo huyo mtu basi ni mbu mbu mbu.
Hata kwenye hii thread sijaona mtu anayesema kuwa kuna system haiwezi kuwa hacked.
But kilicholeta ubishi ni njia ambayo muanzisha thread kasema unaweza hack insta, hilo tu.
 
Haina haja ya kubishan. Tufanye kusubscribe kwa hu uzi. Alaf wale mahacker mtusaidie kuhack account ya instagram hata ya WEMA SEPETU. alaf mkuje na uthibitisho...

Mana hata hakuelewi. Mara brutefosi mara ukwaju, mara github..

Tupeni vitendo aisee

Hapa watu wanajadili idea, sio kwamba kila anayejadili ni hacker. Hiyo password ya Wema unayoitaka inaweza kupatikana kwa njia mbalimbali, hata kama sio hii aliyoileta jamaa. Lakini kumbuka kuiba passwords za watu ni kosa la jinai.
 

Bro, unafahamu hata security policy ya Instagram?

Hivi Kwani nilivopost ile tool niliandika wapi katika thread kwamba unaweza hack insta kwa 'just' bruteforcing? Ile ni tool tu inayoweza kukusaidia wewe kama ukitaka kufanya bruteforcing katika Instagram user account. Ila Hackers wanaelewa huwezi tu ku-jump katika hatua hii ya bruteforcing kabla huja-gather enough information about your target, ndio maana mostly bruteforce attempts zinashindikana because many hackers wanaanza tu na step ya exploitation bila hata kuwa na enough information about their target.

Insta sio secured kama unavodhani, kwani inawezekana ikawa na flaws ambazo hata security engineers wao wenyewe hawajazijua, tena mbaya zaidi ikawa ina 0-day vulnerabilities. (Unadhani kwanini huwa major social networks wanakuwa na Bug Bounty Programme? Kama wangekuwa wanajiamini kwamba system zao zipo secured, je, unafikiri wangekuwa na haja ya kuanzisha hiyo programme?)

Na pia usiseme kwamba Insta itapata 'shida sana', na wakati ni user ndiye anayekuwa affected zaidi.

Bro, andika vitu ukiwa unaelewa unachokiandika.
 

Mbona kuna vitu vitatu au zaidi ya vitatu amemention?

1)Get kali linux
2)Get InstaBrute, an instagram bruteforce tool
3)Hack into his/her account

Una idea anaenda kutumiaje hivyo vitu in combination na skills zake zingine?
 
Mbona kuna vitu vitatu au zaidi ya vitatu amemention?

1)Get kali linux
2)Get InstaBrute, an instagram bruteforce tool
3)Hack into his/her account

Una idea anaenda kutumiaje hivyo vitu in combination na skills zake zingine?

Si ajabu hafahamu ata Kali Linux ni nini. Pia hajui proper steps za kuhack.

Inawezekana tunabishana na 'Noobs'.
 
Tusiandikie mate na wino upo, nikupe username yangu ya insta na hints za password uka ihack then ukifanikiwa post account hacked.
Ntakupa 100,000, najua ni ela ndogo ila ni kama challenge ya kuprove ulichokiandika, if yes then lets do it.
 
Si ajabu hafahamu ata Kali Linux ni nini. Pia hajui proper steps za kuhack.

Inawezekana tunabishana na 'Noobs'.
Really?
Is that what you think. Siwezi jiita mkali wa hizi kazi but I know what kali linux is.
 
Tusiandikie mate na wino upo, nikupe username yangu ya insta na hints za password uka ihack then ukifanikiwa post account hacked.
Ntakupa 100,000, najua ni ela ndogo ila ni kama challenge ya kuprove ulichokiandika, if yes then lets do it.
Ataprove vipi details za account yako na hints unazompa ni za kweli? Mfano ukampa hints kuwa password yako inaanza na 0%^ kumbe inaanza na (]{, ni kitu gani kitakachomwaminisha kuwa hizo hints ni za kweli?
 
Ataprove vipi details za account yako na hints unazompa ni za kweli? Mfano ukampa hints kuwa password yako inaanza na 0%^ kumbe inaanza na (]{, ni kitu gani kitakachomwaminisha kuwa hizo hints ni za kweli?
Then hatuna haja ya kubishana basi kama unahisi ndivyo hivyo maana inakuwa kama hakuna njia ya kuprove chochote.
Lets call it a day
 
Tusiandikie mate na wino upo, nikupe username yangu ya insta na hints za password uka ihack then ukifanikiwa post account hacked.
Ntakupa 100,000, najua ni ela ndogo ila ni kama challenge ya kuprove ulichokiandika, if yes then lets do it.

Bro, don't be soo ignorant to dare somebody like that! It's not worthy of my work, kama hutaki kujifunza basi kaa hivo hivo ukijua kwamba Instagram account haiwezi kuwa bruteforced.

Have a life!
 
Bro, don't be soo ignorant to dare somebody like that! It's not worthy of my work, kama hutaki kujifunza basi kaa hivo hivo ukijua kwamba Instagram account haiwezi kuwa bruteforced.

Have a life!
Watu wanabishanaga kwa vitendo siyo maneno kuna mtu kasema within 74 hours, so if it is not worthy of your work why did you even post that thread?
Any way like I said lets call it a day.
 
Watu wanabishanaga kwa vitendo siyo maneno kuna mtu kasema within 74 hours, so if it is not worthy of your work why did you even post that thread?
Any way like I said lets call it a day.

Yes, It's not worthy of my work as in I didn't bring that exploit ili mtu mwingine anipe-credentials zake nimsaidie au nimpruvie. It's worthy it pale ambapo Hacker ataitumia na kuweza ku-successfully intrude user account. Hivyo kama wewe huwezi, tulia ujifunze.
 
Umeshaijaribu hiyo zip file maana it is aging 2years now. Does it still working?
 
Explain why will never work. Kwa sababu a single guess hata out of trillions ina probability yake ya kupatia kitu. Naamanisha nini? Naamanisha probability ya kuguess password sio zero. Kwa hiyo umepataje hiyo wrong 100% ?

mkuu hatupo kwa ajili ya kushindana.In real world bruteforce haifanyi kaz anymore kwenye kudukua password za instagram.To prove me wrong nipe details za mafanikio yako katika kudukua password za instagram accounts in 2017 using bruteforce.kama huna proof ya success yako kwenye hili then i'm out of this topic
 
nani amekataa website haziwi hacked? issue hapa ni ku hack kwa brute force. hivi hata uzi wa huyo unaemtetea umeusoma?

usitoke nje ya mada kaa kwenye hoja halafu niambie 2017 unahack vipi instagram na brute force.
 
nani amekataa website haziwi hacked? issue hapa ni ku hack kwa brute force. hivi hata uzi wa huyo unaemtetea umeusoma?

usitoke nje ya mada kaa kwenye hoja halafu niambie 2017 unahack vipi instagram na brute force.
Wewe umeona bruteforce tu katika hayo yote aliyoandika? Niambie kitu kingine ulichoona, halafu niambie ni namna gani anaenda kutumia combination ya hivyo vitu, halafu eleza ni kwa nini unasema haiwezekani.
 
Wewe umeona bruteforce tu katika hayo yote aliyoandika? Niambie kitu kingine ulichoona, halafu niambie ni namna gani anaenda kutumia combination ya hivyo vitu, halafu eleza ni kwa nini unasema haiwezekani.

yap
amezungumzia brute force tu sijaona hicho chengine unachokisema na thread ipo hapo juu na nimeiquote kama ya hapo juu huwezi isoma.

nambie hicho chengine umekiona wapi
 

Mimi sio hacker, ninachohoji hapa ni arguments. How did you achieve to a wrong 100%?

Wewe ni hacker? Ulishawahi kuhack nini?
Umeprove vipi kuhack Instagram kwa bruteforce in combination na skills zingine haiwezekani? Kwa nini wewe unang'ang'ania bruteforce tu wakati kataja kitu zaidi ya kimoja? Je, ukishindwa kuhack mfano, JF, ni kwa sababu it can't be hacked au ni kwa sababu ya limitation ya uwezo wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…