habari wadau..
mimi ni artist tu niliyebase kwenye graphics designing, tshirt printing, posters and banners printing na proffessional photography...
nilianza business miaka kama minne iliyopita ila sikuwa na page ya social network..
so nikitoka job nilipoajiriwa.. naingia workshop na nafanya kazi za wateja wangu mdogo mdogo...
mwaka jana kuna mtu akanishauri nifungue page ya biashara instagram niwe na post kazi zangu za kila siku.. itanisaidia sana watu kujua nachofanya na kuja kwa wingi...
kweli nikaanzisha page ya tshirt tu na kuanza kupost kazi na kuweka namba za simu... kiukweli mauzo yaliongezeka sana ikawa karibu kila siku nina kazi ya mteja...
nina tabia ya kuandika kwenye daftari kila kazi nayoifanya pia kwa ajili ya mahesabu..
siku ya xmass juzi nilichukua daftari langu na kuangalia profit ambayo biashara imezalisha mwaka huu ambazo ziikuja kwa wateja waliotokea instagram.. na kukuta milion 8 na laki moja na elfu 32 ni faida from instagram...
japo hela nimezitumbua sana.. ila nimefanikiwa kufungua studio ya kisasa ya picha kwa hela ambazo ni faida ya tshirt page ya instagram
Tshirt Garage Mabibo Hostel (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
mimi ni artist tu niliyebase kwenye graphics designing, tshirt printing, posters and banners printing na proffessional photography...
nilianza business miaka kama minne iliyopita ila sikuwa na page ya social network..
so nikitoka job nilipoajiriwa.. naingia workshop na nafanya kazi za wateja wangu mdogo mdogo...
mwaka jana kuna mtu akanishauri nifungue page ya biashara instagram niwe na post kazi zangu za kila siku.. itanisaidia sana watu kujua nachofanya na kuja kwa wingi...
kweli nikaanzisha page ya tshirt tu na kuanza kupost kazi na kuweka namba za simu... kiukweli mauzo yaliongezeka sana ikawa karibu kila siku nina kazi ya mteja...
nina tabia ya kuandika kwenye daftari kila kazi nayoifanya pia kwa ajili ya mahesabu..
siku ya xmass juzi nilichukua daftari langu na kuangalia profit ambayo biashara imezalisha mwaka huu ambazo ziikuja kwa wateja waliotokea instagram.. na kukuta milion 8 na laki moja na elfu 32 ni faida from instagram...
japo hela nimezitumbua sana.. ila nimefanikiwa kufungua studio ya kisasa ya picha kwa hela ambazo ni faida ya tshirt page ya instagram
Tshirt Garage Mabibo Hostel (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos