Instagram imenisaidia kupata profit ya milion 8 mwaka huu 2017

Instagram imenisaidia kupata profit ya milion 8 mwaka huu 2017

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
habari wadau..

mimi ni artist tu niliyebase kwenye graphics designing, tshirt printing, posters and banners printing na proffessional photography...

nilianza business miaka kama minne iliyopita ila sikuwa na page ya social network..

so nikitoka job nilipoajiriwa.. naingia workshop na nafanya kazi za wateja wangu mdogo mdogo...

mwaka jana kuna mtu akanishauri nifungue page ya biashara instagram niwe na post kazi zangu za kila siku.. itanisaidia sana watu kujua nachofanya na kuja kwa wingi...

kweli nikaanzisha page ya tshirt tu na kuanza kupost kazi na kuweka namba za simu... kiukweli mauzo yaliongezeka sana ikawa karibu kila siku nina kazi ya mteja...

nina tabia ya kuandika kwenye daftari kila kazi nayoifanya pia kwa ajili ya mahesabu..

siku ya xmass juzi nilichukua daftari langu na kuangalia profit ambayo biashara imezalisha mwaka huu ambazo ziikuja kwa wateja waliotokea instagram.. na kukuta milion 8 na laki moja na elfu 32 ni faida from instagram...

japo hela nimezitumbua sana.. ila nimefanikiwa kufungua studio ya kisasa ya picha kwa hela ambazo ni faida ya tshirt page ya instagram

Tshirt Garage Mabibo Hostel (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
 
habari wadau..

mimi ni artist tu niliyebase kwenye graphics designing, tshirt printing, posters and banners printing na proffessional photography...

nilianza business miaka kama minne iliyopita ila sikuwa na page ya social network..

so nikitoka job nilipoajiriwa.. naingia workshop na nafanya kazi za wateja wangu mdogo mdogo...

mwaka jana kuna mtu akanishauri nifungue page ya biashara instagram niwe na post kazi zangu za kila siku.. itanisaidia sana watu kujua nachofanya na kuja kwa wingi...

kweli nikaanzisha page ya tshirt tu na kuanza kupost kazi na kuweka namba za simu... kiukweli mauzo yaliongezeka sana ikawa karibu kila siku nina kazi ya mteja...

nina tabia ya kuandika kwenye daftari kila kazi nayoifanya pia kwa ajili ya mahesabu..

siku ya xmass juzi nilichukua daftari langu na kuangalia profit ambayo biashara imezalisha mwaka huu ambazo ziikuja kwa wateja waliotokea instagram.. na kukuta milion 8 na laki moja na elfu 32 ni faida from instagram...

japo hela nimezitumbua sana.. ila nimefanikiwa kufungua studio ya kisasa ya picha kwa hela ambazo ni faida ya tshirt page ya instagram

Tshirt Garage Mabibo Hostel (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
Safi sana kijana, endelea kwa kasi, kila la heri, ila bidii na umakini zaidi tupate Mzee Mengi mwingine...
 
Hongera mkuu.Pia mwaka huu Facebook na Instagram zinamilikiwa na mtu mmoja.Hivyo jifunze kulink fb na insta utapata wateja zaidi kama navyofanya mimi
 

Attachments

  • fb na insta.JPG
    fb na insta.JPG
    47.4 KB · Views: 92
Hongera mkuu.Pia mwaka huu Facebook na Instagram zinamilikiwa na mtu mmoja.Hivyo jifunze kulink fb na insta utapata wateja zaidi kama navyofanya mimi
Mimi nashindwa jinsi ya kupromote page ,ninaambiwa nilipie ili watu wengi waione so nashindwa namna ya kulipia kama kuna unajua nielekeza mkuu
 
habari wadau..

mimi ni artist tu niliyebase kwenye graphics designing, tshirt printing, posters and banners printing na proffessional photography...

nilianza business miaka kama minne iliyopita ila sikuwa na page ya social network..

so nikitoka job nilipoajiriwa.. naingia workshop na nafanya kazi za wateja wangu mdogo mdogo...

mwaka jana kuna mtu akanishauri nifungue page ya biashara instagram niwe na post kazi zangu za kila siku.. itanisaidia sana watu kujua nachofanya na kuja kwa wingi...

kweli nikaanzisha page ya tshirt tu na kuanza kupost kazi na kuweka namba za simu... kiukweli mauzo yaliongezeka sana ikawa karibu kila siku nina kazi ya mteja...

nina tabia ya kuandika kwenye daftari kila kazi nayoifanya pia kwa ajili ya mahesabu..

siku ya xmass juzi nilichukua daftari langu na kuangalia profit ambayo biashara imezalisha mwaka huu ambazo ziikuja kwa wateja waliotokea instagram.. na kukuta milion 8 na laki moja na elfu 32 ni faida from instagram...

japo hela nimezitumbua sana.. ila nimefanikiwa kufungua studio ya kisasa ya picha kwa hela ambazo ni faida ya tshirt page ya instagram

Tshirt Garage Mabibo Hostel (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
Hongera chief
 
Back
Top Bottom