Instagram imenisaidia kupata profit ya milion 8 mwaka huu 2017

Instagram imenisaidia kupata profit ya milion 8 mwaka huu 2017

habari wadau..

mimi ni artist tu niliyebase kwenye graphics designing, tshirt printing, posters and banners printing na proffessional photography...

nilianza business miaka kama minne iliyopita ila sikuwa na page ya social network..

so nikitoka job nilipoajiriwa.. naingia workshop na nafanya kazi za wateja wangu mdogo mdogo...

mwaka jana kuna mtu akanishauri nifungue page ya biashara instagram niwe na post kazi zangu za kila siku.. itanisaidia sana watu kujua nachofanya na kuja kwa wingi...

kweli nikaanzisha page ya tshirt tu na kuanza kupost kazi na kuweka namba za simu... kiukweli mauzo yaliongezeka sana ikawa karibu kila siku nina kazi ya mteja...

nina tabia ya kuandika kwenye daftari kila kazi nayoifanya pia kwa ajili ya mahesabu..

siku ya xmass juzi nilichukua daftari langu na kuangalia profit ambayo biashara imezalisha mwaka huu ambazo ziikuja kwa wateja waliotokea instagram.. na kukuta milion 8 na laki moja na elfu 32 ni faida from instagram...

japo hela nimezitumbua sana.. ila nimefanikiwa kufungua studio ya kisasa ya picha kwa hela ambazo ni faida ya tshirt page ya instagram

Tshirt Garage Mabibo Hostel (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
Nimejaribu hii mbinu nimeshindwa
Pg yangu ya insta ipo kwenye business mode
 
Binafsi mwaka huu wa 2017 kuanzia mwezi wa 4 mpak wa 5 nilivuna. Shilingi laki 8 WhatsApp tu kwajili ya ifunfishaji wa kazi za ujasiliamali
Mwaka huo huo mwezi wa 11 till now nimevuna milioni moja kamili kutoka Facebook na tinder
Mafanikio aya yamenifanya niwaze au labda izi ndevu nilizokuw nazo ni sababu maana ni Kama supriz kwangu
Vile vile u tube imenisaidia......jinsi gani unaweza kuwa money magnant aseee simu zina faida kubwa ukijua kuichambua vizr
Sorry kwa gazeti
 
tshirt mimi naziprint ndio kazi yangu.. kuna watu wengi wanauza tshirt wanakuja nawatengenezea logo wanazotaka kisha nawaprintia kwenye tshirt zao mimi mwenyewe...

malipo tunalipana kawaida tu maana ni wanakuja kwnagu tunaonana.. baada ya kuwasiliana via instagram na namba za simu ambazo wanazitoa instagram..... graphics design nafanya sana tu kama za fliers, banners ila kwa mfumo huo huo unakuja ofisin unalipia advance ndio nakufanyia kazi.. ukiifata unamalizia na kuchukua kazi yako

kutapeliwa sijawai zaidi ya kupata hasara tu za kuharibu tshirt wakati naiprint... ambazo ni kawaida tu na hazitokei kila siku...

sifanyi kazi yoyote ambayo haijalipiwa advance... so naanzia wapi kutapeliwa... na sitoi kazi mpaka imaliziwe iliyobaki... maana mimi nauza huduma siuzi budhaa zinazooza... kiasi cha kumkopesha mtu kuogopa zitaharibika au ku expire....
So hufanyi kazi na wateja wa mikoani?kama unafanya,unahandle vip hizo business za mbali?
 
Binafsi mwaka huu wa 2017 kuanzia mwezi wa 4 mpak wa 5 nilivuna. Shilingi laki 8 WhatsApp tu kwajili ya ifunfishaji wa kazi za ujasiliamali
Mwaka huo huo mwezi wa 11 till now nimevuna milioni moja kamili kutoka Facebook na tinder
Mafanikio aya yamenifanya niwaze au labda izi ndevu nilizokuw nazo ni sababu maana ni Kama supriz kwangu
Vile vile u tube imenisaidia......jinsi gani unaweza kuwa money magnant aseee simu zina faida kubwa ukijua kuichambua vizr
Sorry kwa gazeti
Tinder ni social Media pia?
 
nawahudumia sana.. hasa mashule.. nina shule nyingi sana wateja wamgu mikoani.. mfumo wangu ni ule ule lipia huduma nikufanyie kazi... sifanyagi kazi kabla sijalipwa.... nafata mfumo wa kununua kitu popote duniani kwamba toa hela upate huduma..

wateja wadogo wadogo wa couple tshirts hao wanalipa full kwanza ndio mawatengenezea na kutuma mzigo kwao...

aunt ezekiel na mose iyobo walinipa kiki sana walivyonunua king and queen kwangu

nikimaliza kuengeneza nawatumia mzigo wao ubungo... nina agent wa mizigo naemtumia


So hufanyi kazi na wateja wa mikoani?kama unafanya,unahandle vip hizo business za mbali?
 
nawahudumia sana.. hasa mashule.. nina shule nyingi sana wateja wamgu mikoani.. mfumo wangu ni ule ule lipia huduma nikufanyie kazi... sifanyagi kazi kabla sijalipwa.... nafata mfumo wa kununua kitu popote duniani kwamba toa hela upate huduma..

wateja wadogo wadogo wa couple tshirts hao wanalipa full kwanza ndio mawatengenezea na kutuma mzigo kwao...

aunt ezekiel na mose iyobo walinipa kiki sana walivyonunua king and queen kwangu

nikimaliza kuengeneza nawatumia mzigo wao ubungo... nina agent wa mizigo naemtumia
Printing machine inauzwa bei gan mkuu,unanipa inspiration nzuri sana
 
printing ni skills sio mashine.. mashine haiprint.. bali ni mikono yako...

na graphics design pia ni laptop tu au pc nzuri na softwares zako na utundu wako mwenyewe..


biashara ni passion tu ukifanya kitu unachokipenda utafanya vizuri tu...

kuna watu wana mashine za kila aina ila hawafanyi kazi za maana sababu hawana passion na wanachofanya...

kabla hujafanya biashara yeyote kwanza jiulize unaipenda kiasi cha kufanya hata kama haikulipi.. la sivyo utanunua mavifaa na kuhama biashara kila siku


Printing machine inauzwa bei gan mkuu,unanipa inspiration nzuri sana
 
Congrats! Keep it up! Utazidi kusonga mbele. Kwa hakika mkombozi wako ni wewe mwenyewe.
Nategemea wale vijana wanaotumika kisiasa kuponda juhudi za serikali kwamba haziwasaidii watakuwa na la kujifunza
 
Hongera kwako mkuu, kumbe hzi mambo Ni mambo zenye faida kubwa hvo... Naonaga Sana hii kitu kwenye pege hasa za mastaa wengi lazima ukutane na tangazo...
 
Screenshot_20180104-153022.png
Mkuu kuna hii tshirt nimeikuta kwa page yako imetulia sana...sema tu haijaandikwa namba ya simu.
 
Ina maana Jf hujawahi pata faida hata yyt ni vizuri shukurani zako pia ukazipeleka Insta uku ni wakatisha tamaa tu
 
printing ni skills sio mashine.. mashine haiprint.. bali ni mikono yako...

na graphics design pia ni laptop tu au pc nzuri na softwares zako na utundu wako mwenyewe..


biashara ni passion tu ukifanya kitu unachokipenda utafanya vizuri tu...

kuna watu wana mashine za kila aina ila hawafanyi kazi za maana sababu hawana passion na wanachofanya...

kabla hujafanya biashara yeyote kwanza jiulize unaipenda kiasi cha kufanya hata kama haikulipi.. la sivyo utanunua mavifaa na kuhama biashara kila siku

Mbona umetoa maelekezo tu lakini bei ya printing machine hi hujataja.Dunia kubwa mtu mmoja hawezi kujaa
 
Hongera kuna vijana wenngine wanatumia insta kutoa matusi mwanzo mwisho
 
habari wadau..

mimi ni artist tu niliyebase kwenye graphics designing, tshirt printing, posters and banners printing na proffessional photography...

nilianza business miaka kama minne iliyopita ila sikuwa na page ya social network..

so nikitoka job nilipoajiriwa.. naingia workshop na nafanya kazi za wateja wangu mdogo mdogo...

mwaka jana kuna mtu akanishauri nifungue page ya biashara instagram niwe na post kazi zangu za kila siku.. itanisaidia sana watu kujua nachofanya na kuja kwa wingi...

kweli nikaanzisha page ya tshirt tu na kuanza kupost kazi na kuweka namba za simu... kiukweli mauzo yaliongezeka sana ikawa karibu kila siku nina kazi ya mteja...

nina tabia ya kuandika kwenye daftari kila kazi nayoifanya pia kwa ajili ya mahesabu..

siku ya xmass juzi nilichukua daftari langu na kuangalia profit ambayo biashara imezalisha mwaka huu ambazo ziikuja kwa wateja waliotokea instagram.. na kukuta milion 8 na laki moja na elfu 32 ni faida from instagram...

japo hela nimezitumbua sana.. ila nimefanikiwa kufungua studio ya kisasa ya picha kwa hela ambazo ni faida ya tshirt page ya instagram

Tshirt Garage Mabibo Hostel (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
Na kodi hujalipa ngoja TRA wakukakobe kwanza!!! [emoji23]
 
Back
Top Bottom