Instagram Party Tanzania Tour 2014 Mwanza Waandika Historia Watu 5,000 Wajitokeza Jembe ni Jembe

Miaka mitatu lini wakati jf nimejiunga mwaka huu JANUARY?

Babu mbona unajiazilisha mchana kweupe?

Wewe uliekimbia child support USA ndo umuoe dadangu?

Mi ntaendelea kukupa nyundo mpaka ubadilike kima wewe

- hahahahaha Malecela yupo London sasa hivi nikupe namaba yake umpigie ili awe baba yako mpya? hahahahahahaha badala ya kunikasirikia mtafutie dada yako mume mpya mimi nina mchumba sasa hivi dogo dogo na Msomi wa kutupwa U know, wewe ndio ubadilike ili umiliki mashamba ya kumilikiwa na TBL na TIGO badala ya UKAWA, maana wote mnakufwa soon U know hahahahahaha badilika kaka ili uwe mtoto wa Malecelaa kama unavyosema eti anakusikiliza sana wewe kuliko mimi sawa sasa kwa nini usijiite le Mbruulazzz Malecela? hahahahahahahahaha

Le Mutuz
 
Ha ha ha ha ha! you've made my day you know? Am Humbled..ha ha Mkarezz

- YAani huyu jamaaa toka niachane na dada yake ameumia sana kila siku kuja kutoa mapovu huku leo kanimaliza kabisa kasema Malecela anampenda sana kuliko mimi so anaomba awe baba yake U know yaani sijawai kuona this kind of mburulazzz before!!

Le Mutuz
 
Yaani nikiona thread ya le Mutuz nafurahi sana,hasa ligi yake na lusungo...ni zaidi ya burudani miss neddy unaijua hii?
 
Last edited by a moderator:


Duuuh kuna sehemu nimesema malecela ananisikiliza Mimi kuliko wewe?

What's so special kuwa mtoto Wa malecela Kama mtoto wake Wa damu ndo Kama wewe tutusa...fungi kuvu?

Ha ha ha hivi MTU anaweza tamani kujinasibisha na ukoo wenye watu nuksi na mufilisi Kama wewe?

Yaani kwa ukoo wetu MTU Wa umri wako asiye na mwelekeo na tabia za shombo huwa tunawaita walaaniwa na kukubali kumpa mke huwa tunaona ni Kama kukaribisha laana kwenye ukoo....

Unazidi kudhihirisha uduni Wa ubongo wako maana unaandika yasiyokuwapo....

Ungekua mwanaume kamili na mwenye akili usingekimbia child support USA
 

Mkuu unambabatiza sana Le Mutuz huku mpaka anatufananisha na wewe kwenye nyuzi nyingine kule.
 

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha Asante Le Mutuz..am seriously humbled hahahahahahahahahahahahahahaha
 

- WEwe mburulaazzzz hata kama baba yako hana akili na hajulikani huwezi kuja kulazimisha ubaba na baba wa wengine kwa sababu ni maaarufu, baba yako hana mpango sasa umeona baba yangu awe baba yako pole sana haitatokea ok hahahahahahaha le mburulazzzz

Le Big Show
 
Mkuu unambabatiza sana Le Mutuz huku mpaka anatufananisha na wewe kwenye nyuzi nyingine kule.

- Le mburulazzzz mnajibeba leo mmezidi kihere here na ujinga mtafutieni dada yenu mume mimi nina dogo dogo msomi wa kupindukia U know hahahahahahaha

Le Mutuz
 
- Le mburulazzzz mnajibeba leo mmezidi kihere here na ujinga mtafutieni dada yenu mume mimi nina dogo dogo msomi wa kupindukia U know hahahahahahaha

Le Mutuz

Kweli wewe kibabu leo umevurugwa sana au mmedhulumiana mapato ya instagram.
 


Wewe Mimi siwezi kutamani kuwa na baba ambae anazaa product za watu dull Kama wewe...

Kujulikana unaona issue?

Well.. My dad ni retired permanent secretary of certain ministry ktk nchi hii...

Sidhani Kama katibu mkuu Wa wizara anaweza kuwa hajasoma halafu huyo Huyo katuzaa watoto wenye akili za maisha sio wenye mitambi mikubwa na mabichwa duara ya kitaahira Kama wewe ambae mpaka kwenye umri huo wa ubabu unaona fahari kuongelea eti mchumba ni miss

Huyo alokupata inaonekana yupo desperate Sana na ndoa kwakuachwa na kila mwanaume kwa kasoro ambazo kwako kubwa jinga sio issue.....

Le maarufu mbona ulikimbia CHILD SUPPORT USA???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…