Instagram: Vita kati ya Lulu na Gigy Money dhidi ya Mwanamuziki TEKNO

Status
Not open for further replies.
Headache…
Nifah jana c mlisema huyu madame range ana bwawa na rinda wametatua deadly…. Leo tena anasifika?
Confusion
 
Headache…
Nifah jana c mlisema huyu madame range ana bwawa na rinda wametatua deadly…. Leo tena anasifika?
Confusion
Niliyesema ana bwawa ni Uwoya mkuu,hayo mengine tuwaulize waliosema.
Mimi nimewasilisha ripoti yangu ya kiintelijensia na sina shaka nayo kabisa.
 
Kama jana uliingia insta, Dildo alilotiwa nalo liliwekwa hadharani na Usipojipanga.
Wambea sijui walilipata wapi
Uwiiiiii hii itakuwa imenipita,insta nilirudi usiku nikiwa nimechoka na nilipita kwa Lulu kisha nikalala.
Bado lipo nikalicheki?
 
Hivi kumbe hata ninyi akina dada mnajua nani mtamu , nani sore!
Ha ha ha!
Hizo ni habari za mujini kwa mujibu wa kaka zetu wa mujini mkuu,mie nimewasilisha taarifa kama nilivyozipata kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika.
 
Uwiiiiii hii itakuwa imenipita,insta nilirudi usiku nikiwa nimechoka na nilipita kwa Lulu kisha nikalala.
Bado lipo nikalicheki?
Mkuu umepitwa sana na kuona dildo iliyofanya mambo,ukitaka kujua tz nikijiji ndo hapo sasa...nenda kailete tuhakikishe km iliweza kufumua malinda yotee ooh chezea papuchi wetness..sa hv mwendo wa kufumua malinda tu ndo habari ya mujini hahahahaaaaaa.....watu Mtera,mara ruvu.....
 
Hahahahaaaa ngoja narudi mkuu,hili sasa ni balaa
 
Taste and Preference nifah

Kuzamia kila kina nako sio sifa... Utakutana na nyangumi huko ufe
Tatizo lako unasikiliza maneno ya kitaa kaka,zamia uhakikishe mwenyewe.
As I told ya,kila mtu na taste yake....
Huenda kwako ikawa tofauti
Heheheheee
 
Tatizo lako unasikiliza maneno ya kitaa kaka,zamia uhakikishe mwenyewe.
As I told ya,kila mtu na taste yake....
Huenda kwako ikawa tofauti
Heheheheee
Zamia wewe kwa yule jamaa anaitwa Manaiki Sanga sijui...

Then uone taste yake teh teh teh
 
Zamia wewe kwa yule jamaa anaitwa Manaiki Sanga sijui...

Then uone taste yake teh teh teh
Hahahahaaa uwiiiiii!
Umenikumbusha wakati najiunga JF.
Wewe ndio snipa nini?
Yule hata iweje sitaki aisee,he isn't my type.
 
Hahahahaaa uwiiiiii!
Umenikumbusha wakati najiunga JF.
Wewe ndio snipa nini?
Yule hata iweje sitaki aisee,he isn't my type.
teh teh teh huyo snipa ndiye huyo Sanga eeehh..

Sio type yako nini, achana na vibamia, nenda kwa Manaiki...
 
teh teh teh huyo snipa ndiye huyo Sanga eeehh..

Sio type yako nini, achana na vibamia, nenda kwa Manaiki...
Hapana,first time ali act kama Manaiki,tulibishana sana mwishowe akanifata PM kuwa alikuwa anatania tu.

Yule sio classic man bwana,halafu mimi ni one man type of a girl.
Nadhani umeshajua namaanisha nini.
 
Hapana,first time ali act kama Manaiki,tulibishana sana mwishowe akanifata PM kuwa alikuwa anatania tu.

Yule sio classic man bwana,halafu mimi ni one man type of a girl.
Nadhani umeshajua namaanisha nini.
teh teh teh teh nimekusomaaaa....
 
Hizo ni habari za mujini kwa mujibu wa kaka zetu wa mujini mkuu,mie nimewasilisha taarifa kama nilivyozipata kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika.
Nitatafuta hivyo vigezo vya utamu.
Ha ha ha.
Asante kwa taarifa
 
Huyu Gigy anaongoza kwa kujidhalilisha utafikiri hana wazazi au anaishi msituni
Anakwambia mama ake hawezi kumkataza coz hata yeye aliwahi kujihusisha na umiss akawa anatembea na chupi mbele za watu
 
Hapana,first time ali act kama Manaiki,tulibishana sana mwishowe akanifata PM kuwa alikuwa anatania tu.

Yule sio classic man bwana,halafu mimi ni one man type of a girl.
Nadhani umeshajua namaanisha nini.
Mkuu,hivi huyo manaiki ndo yule jamaa Kama zezeta???alihojiwa na zamaradi hata kujieleza tu 0
 
Aunt Ezekiel nakubali ni mtamu ingawaje sijawahi kumpakua..labda nimuulize mlokole mwenzangu waziri mstaafu wa wanyama na mlima Kilimanjaro athibitishe...lakini lulu🙄
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…