kama giggy hana mvuto kwako, basi wewe sio mwanaume rijali,Mkuu,gigy kwako ana mvuto???duuh wallah simpatii picha girlfriend wako/mkeo!!!
hata kama malaya mi nimempenda, mwanamke yoyote asiekuwa na bikra huyo ni malaya.Raha yake nini?
Malaya tu huyo hana lolote.
Watoto wazur hawa,hawana makuu kabisaaaHebu kafie mbali huko na wewe na Gigy wako
We unayo?hata kama malaya mi nimempenda, mwanamke yoyote asiekuwa na bikra huyo ni malaya.
Hahahahahaa mimi huwa najisikia kichefuchefu kwakweli.
Sijui namuonaje?
Duuh...okei sawaWatu dizaini ya Gigy Money hawaniumizi kichwa kabisa-- hata akivua nguo wakati yupo Live CNN kwangu aibu hiyo itakuwa yake na ndugu zake. Na hata hizo shobo zake ni kawaida sana; tena sana-- hata TECNO hawezi shangaa coz' anakutana nazo kila anakoenda.
Raia walio nje ya hili duara la wasanii ndio wanaweza kuona ni big deal. Hata Kibongobongo; msanii ukitoka Dar unaenda mkoa; lazima ukutane na akina Gigy Money wa huko-- LAZIMA! Tena kwenye baadhi ya miji hapa hapa TZ kuna akina Gigy Money special kabisa ambao kila msanii anayeenda huko, lazima apewe hisani na kuna wengine wanaletwa na mapromota! Hivi watu hamujiulizi mtu kama Mboni ilikuaje akamfikia hadi Etoo!!! ALIPELEKWA na kwa Etoo hiyo kwake wala haiwezi kuwa ilikuwa ni mara ya kwanza coz' that's how celebritiessphere works wherever you go!
Haha... usihofu breanda, tutafika tu!Duuh...okei sawa
Hahahahahaa sidhani kama shemeji yangu laki si pesa. atarudi hapa.We unayo?
Hata mimi naamini hivyo,Lulu alivyo mjinga akafuraaahi mwenyewe.nifah gigy alifanikio kulala na tekno na siku mbili kabla ya show niliwaona mitaa kariakoo pamoja ila tekno hana mponda ili apate nafac ya lulu
Wanauzi...kila siku bikra bikra ndo wimbo ....Hahahahahaa sidhani kama shemeji yangu laki si pesa. atarudi hapa.
Kwani yale yaloandikwa kwenye ile page yaneandikwa na mwenye page au mtu mwingine?Hata mimi naamini hivyo,Lulu alivyo mjinga akafuraaahi mwenyewe.
Ni mwanamke mpumbavu pekee asiyewajua wanaume anayeweza kuamini aliyoyasema Tekno.
Pole sana,pole mnooo ha ha ha ha haaaaWanauzi...kila siku bikra bikra ndo wimbo ....
πππππpole ya ninPole sana,pole mnooo ha ha ha ha haaaa
Inaonekana watu wanaoulizia bikra hasa hapa JF wanakukera akiwemo LAKI si pesaπππππpole ya nin
Hali si hali,balaa tupu Instagram kumechafuka ndani ya dakika 20 alizozitoa Super Star kutoka Nigeria Teknomiles hazijatosha kwani comments za wadau wa umbea zimefika 1000 na zaidi!
Yote haya yalianza baada ya mwanamuziki huyo (yes ni mwanamuziki na sio msanii) kuja nchini kwenye tamasha la muziki la siku ya kuamkia mwaka mpya tarehe 31 Alhamis iliyopita,sasa wadada wa mujini kama kawaida yao kila mmoja akataka kulala na Star huyo (what a shame).
Vita kubwa ilikuwa kati ya Lulu na Gigy Money (mwanadada anayetafuta umaarufu kwa nguvu mjini hapa)
Leo mchana huu mwamuziki huyo kutoka Nigeria katuacha midomo wazi kwa alichopost Instagram kama ifuatavyo....
Cha kujiuliza ni nani kamfundisha kiswahili tena kilichonyooka namna hii?
Tuliowahi tumescreen shot,jioneeni wenyewe....
View attachment 314834