Instagram: Vita kati ya Lulu na Gigy Money dhidi ya Mwanamuziki TEKNO

Status
Not open for further replies.
Eeeh...walikua mashost,ila zuhura hakuzaa na majizo japo anae mtoto sina uhakika baba ni nani,anatangaza clouds I think huyu dada
Zuhura anatumia jina gani insta nimfuateko maana naona nakereketwa kumfahamu afu hatokei kwa list
 
Eeeh...walikua mashost,ila zuhura hakuzaa na majizo japo anae mtoto sina uhakika baba ni nani,anatangaza clouds I think huyu dada
Ila malipo ni hapahapa duniani....wasichana sijui tunafikiriaga kwa kutumia mapua ama hata kujiongeza tu mwanaume kamuacha fulani kisa wew....nawe hufikirii ipo siku utaachwa kwa ajili ya mwanamke mwingine tena usikute rafiki yako....Mmmh eti nawe unamringia aloachwa unamchamba unamtukana na taarabu juu..mfyuuu
 
Shoga nimechekaje?Sasa hivi kachambwa Esma na kwa baby_ake kachambwa Young Killer.
Hahahahaaa
Teh, hawa wachambaji watuonee huruma wenzao maana duh,young killer sijaiona ntaipitia hio
 
Zuhura anatumia jina gani insta nimfuateko maana naona nakereketwa kumfahamu afu hatokei kwa list
Gorazuhura dear,ni host wa 5gear,ana shingo ka twiga ndio alikua bestie wa hamisa mpaka unyakuzi ulivyotokea
 
Ni ujinga tu,mimi siwezi kugombana na mwanamke mwenzangu sababu ya mwanaume...mtu anakuonyesha vitimbwi unatulia tu unasubiri na ye yamkute kwanza
 
Gorazuhura dear,ni host wa 5gear,ana shingo ka twiga ndio alikua bestie wa hamisa mpaka unyakuzi ulivyotokea
Asante....ngoja nsipoteze muda tunaenda na reference zaidi...hahaha umbea huu daaa yaani usingizi haupandi kabisa
 
Ni ujinga tu,mimi siwezi kugombana na mwanamke mwenzangu sababu ya mwanaume...mtu anakuonyesha vitimbwi unatulia tu unasubiri na ye yamkute kwanza
Alafu watu ambao viuno vyao vimebinuka kwa kujibinua sijui wanashida gani.....ujue ndo wanaongoza kwa unyakuzi....
 
Ni ujinga tu,mimi siwezi kugombana na mwanamke mwenzangu sababu ya mwanaume...mtu anakuonyesha vitimbwi unatulia tu unasubiri na ye yamkute kwanza
Mwee kumbe haka....chembambaaaa kama kinaenda vunjika nishakiona clouds km sikosei kinatangaza garigari things kama sijakosea😕😕Pole zakee
 
Mwee kumbe haka....chembambaaaa kama kinaenda vunjika nishakiona clouds km sikosei kinatangaza garigari things kama sijakosea😕😕Pole zakee
Eeh huyo huyo,majizo anapenda vimbaumbau inaonekana...
 
Ni ujinga tu,mimi siwezi kugombana na mwanamke mwenzangu sababu ya mwanaume...mtu anakuonyesha vitimbwi unatulia tu unasubiri na ye yamkute kwanza
Umetishaaaa,nimekupendaje?Hii ndio falsafa yangu....
Sigombei mwanaume,zaidi nitamuacha tu.
 

Attachments

  • 1452338543852.jpg
    42.7 KB · Views: 37
Gorazuhura dear,ni host wa 5gear,ana shingo ka twiga ndio alikua bestie wa hamisa mpaka unyakuzi ulivyotokea
Ni video vixen pia,hana lolote malaya tu nae.
Kuna kipindi alikuwa anakuja sana magomeni kumfuata mkaka mmoja chotara hivi.....
Ngoja niishie hapa nisiexpose ID yangu.
 
Ni video vixen pia,hana lolote malaya tu nae.
Kuna kipindi alikuwa anakuja sana magomeni kumfuata mkaka mmoja chotara hivi.....
Ngoja niishie hapa nisiexpose ID yangu.
Nifa unamuita mwanamke mwenzako malaya??
 
Ni video vixen pia,hana lolote malaya tu nae.
Kuna kipindi alikuwa anakuja sana magomeni kumfuata mkaka mmoja chotara hivi.....
Ngoja niishie hapa nisiexpose ID yangu.
Hahah inaonesha unamjua vizuri,huyo mtoto sio wa majizo lakini eeh?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…