Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,073
- 2,026
Salama wakuu....
Aisee yani leo ndo nimeamua kubrowse insta, nimekuwa na akaunti insta lakini siitumia mara kwa mara sasa leo nikaona ngoja niperuziperuzi kidogo!
Ee bana eeh!! Yani kule kumejaa picha za wadada wakionesha makalio na hips tu, hakuna wabaya kule kila mmoja ni mrembo ana tako au hips au vyote!!
Wanadada wanafanya biashara labda ya nguo lakini anaanza kwanza kutandaza tako lake ndo mengine yanafuata. Aisee! Kwa wazee wa mizigo kule ndo kwa kutembelea mara kwa mara!
Ila tuache utani watoto wa kibantu wazuri bana kuanzia maumbo mpaka sura. Sijapoteza macho ya kuangalia warembo mimi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee yani leo ndo nimeamua kubrowse insta, nimekuwa na akaunti insta lakini siitumia mara kwa mara sasa leo nikaona ngoja niperuziperuzi kidogo!
Ee bana eeh!! Yani kule kumejaa picha za wadada wakionesha makalio na hips tu, hakuna wabaya kule kila mmoja ni mrembo ana tako au hips au vyote!!
Wanadada wanafanya biashara labda ya nguo lakini anaanza kwanza kutandaza tako lake ndo mengine yanafuata. Aisee! Kwa wazee wa mizigo kule ndo kwa kutembelea mara kwa mara!
Ila tuache utani watoto wa kibantu wazuri bana kuanzia maumbo mpaka sura. Sijapoteza macho ya kuangalia warembo mimi!!
Sent using Jamii Forums mobile app