INSTINCTS ARE MATHEMATICAL / MACHALE NI MAHESABU :: From my personal experience as a Data Engineer and Computer Programmer

INSTINCTS ARE MATHEMATICAL / MACHALE NI MAHESABU :: From my personal experience as a Data Engineer and Computer Programmer

one gram of DNA can store approximately 220,160 terabytes, hapo sijaongelea ubongo yaani uwezo wa ubongo wa kuwa creative, kutumia logic ni kitu ambacho robot kuja kuweza ni ngumu sana

Robot wataweza repetitive task Ila kwenye ubunifu, yaan robot kuwa wabunifu kutawapa ugumu sana
Shida sio ku store data. Shida ni processing. Kama mtu nawezo kustore data zote hizo na ku processes nakuhahikishia leo hii tungekua tunauwezo kwenda kwa speed ya mwanga

Hii ndo advantage ya computer, data processing & in higher speed. hapa ndo tofauti kubwa ya ability ya watu na computer
 
one gram of DNA can store approximately 220,160 terabytes, hapo sijaongelea ubongo yaani uwezo wa ubongo wa kuwa creative, kutumia logic ni kitu ambacho robot kuja kuweza ni ngumu sana

Robot wataweza repetitive task Ila kwenye ubunifu, yaan robot kuwa wabunifu kutawapa ugumu sana
Kuna study inasoma mchezo wa DNA, na ilipofikia ni mbali sana na hatari, hadi kuna siku elon musk alitweet kwenye account yake akasema "I told you this is dangerous". Nikipata hio tweet ntakuwekea hapa.

Binadamu tutajimaliza kwa nguvu zetu wenyewe. Huo ubongo ambao una capacity kubwa ndio unahangaishwa kutengeneza vitu vyenye capacity kubwa zaidi kuuzidi
 
Kuna study inasoma mchezo wa DNA, na ilipofikia ni mbali sana na hatari, hadi kuna siku elon musk alitweet kwenye account yake akasema "I told you this is dangerous". Nikipata hio tweet ntakuwekea hapa.

Binadamu tutajimaliza kwa nguvu zetu wenyewe. Huo ubongo ambao una capacity kubwa ndio unahangaishwa kutengeneza vitu vyenye capacity kubwa zaidi kuuzidi
Mada nzuri, ubongo naamini hauna limit, AI zikianza itafikia ukomo pale ubongo unapofika mwisho ila hazwezi kwenda zaidi ya ubongo, nina amini hivyo
 
Haahaaaaa Pole mkuu..... ila kiufupi kabisa ni kwamba. Ubongo unafanya calculations na kujifunza 'sub-consciously' bila sisi kujua. Matokeo ya huko kujifunza ndio machale sasa hayo
Shukran mkuu. Yani mimi nilidhani umemiksi na kilugha
 
Mada nzuri, ubongo naamini hauna limit, AI zikianza itafikia ukomo pale ubongo unapofika mwisho ila hazwezi kwenda zaidi ya ubongo, nina amini hivyo
You have a point.

Ila hio probability ni 50/50 coz ubongo una tabia ya kuevolve, sasa kama hizi systems zikifikia kuwa angalau 80% kama ubongo na zikaweza ku-evolve basi hapo ni hatari coz hazitakua na limit. Na hilo swala la kuevolve ndilo linawaogopesha hata watu wenye akili sana duniani, na ndio reason kubwa Billionaire elon musk anapinga maendeleo kama hayo kwenye A.I
 
Mada nzuri, ubongo naamini hauna limit, AI zikianza itafikia ukomo pale ubongo unapofika mwisho ila hazwezi kwenda zaidi ya ubongo, nina amini hivyo
Huu ndo ukweli unajua hakuna mtu aliyetumia akili yake kwa asilimia 💯
 
You have a point.

Ila hio probability ni 50/50 coz ubongo una tabia ya kuevolve, sasa kama hizi systems zikifikia kuwa angalau 80% kama ubongo na zikaweza ku-evolve basi hapo ni hatari coz hazitakua na limit. Na hilo swala la kuevolve ndilo linawaogopesha hata watu wenye akili sana duniani, na ndio reason kubwa Billionaire elon musk anapinga maendeleo kama hayo kwenye A.I
Hakuna mwanadamu aliyetumia akili yake kwa 💯 mpaka Leo, Sasa hizo AI zitaipitaje ubongo ambao hatujawe ku-unlock kwa asilimia 💯
 
Hakuna mwanadamu aliyetumia akili yake kwa 💯 mpaka Leo, Sasa hizo AI zitaipitaje ubongo ambao hatujawe ku-unlock kwa asilimia 💯
Self-evolving mkuu. Ni kama sisi binadamu ubongo wetu unavyo evolve kutoka kula raw food had kujua kwamba tunaweza kupika, hadi kugundua moto etc......

A.I ikifikia hio hatua basi ni hatari sana. Kuna neno kitaalamu linaitwa SINGULARITY ndilo linaelezea hio state nnayoisemea hapa. Na huwezi amini kuna watu wanahangaika usiku mchana kufika huko
 
Self-evolving mkuu. Ni kama sisi binadamu ubongo wetu unavyo evolve kutoka kula raw food had kujua kwamba tunaweza kupika, hadi kugundua moto etc......

A.I ikifikia hio hatua basi ni hatari sana. Kuna neno kitaalamu linaitwa SINGULARITY ndilo linaelezea hio state nnayoisemea hapa. Na huwezi amini kuna watu wanahangaika usiku mchana kufika huko
Mim A.I nilchokuja gundua kwanin every time AI system inatakiwa kuwa train kwangu mim nikama inakaririshwa huwez kuwa creative kwa kutegemea Kuna mtu wa kukaririsha (train)

Katika eneo ambalo AI system haijawa train haiwi effective ndo point ya cognitive abilities inakuja yaani ubongo una cognitive abilities kubwa sana
 
Mim A.I nilchokuja gundua kwanin every time AI system inatakiwa kuwa train kwangu mim nikama inakaririshwa huwez kuwa creative kwa kutegemea Kuna mtu wa kukaririsha (train)
Ofcoz, ila hapo ni tulipo kwa sasa. Lkn tunakoelekea njia nyngine zitakuja kureplace hii traditional training.
 
Hata ubongo wa binadamu pia una karirishwa (train)tokea mtoto mpaka unakua kuweza kupambanua..
Ni vile vile kwa AI pia jinsi unavyukuwa unazidi kukaririshwa(train), ndio ndivyo unavyo evolve, na ni kweli mbeleni utakuwa na mind of its own.

Kwa level tu ya sasa, AI inauwezo wa kutambua vitu ambavyo kwa binadamu huwa tunakuwa na human error kama mfano kwenye Healthcare sector, AI inatambua magonjwa ya saratani kwa 99% accuracy kushinda binadamu...

Evidence pia imeonyesha AI sasa ina uwezo wa ku reason na binadamu na huwezi kuimanipulate, inakupa makavu ukiongea utopolo.....

Kama ilivyo human nervous system, pia AI imetengenezwa kwa mfumo huo huo, sasa kama the best of the best minds ndio zinakesha kila siku kuzikaririsha AI system,
mimi kapuku wa dunia ya tatu, nitasemaje kuwa nina uwezo kulingana na efficient au intelligence of an AI system.
Mamilion ya kazi yanapotea kwa kasi duniani kwa kuchukuliwa na hizi efficient AI system mpaka kuna vitengo vya serikali nchi za ulaya vinavyohusika na kulinda maslahi ya binadamu kutokuwa replaced na AI.

1667428029902.png
 
Hivi vitu vina fikirisha na kuogopesha haswa kwa upande wa computer, isifikie ikaanza kufanya desicion making naona ni hatari kuliko level hii ya kutoa suggestions
 
Hello bosses........

Nadhan hii inawakuta watu wengi pia. Kuna muda unafanya decision bila kuwa na sababu yoyote ya msingi au logical. Hii wazungu hupenda kuiita 'gut feeling'. Yaan unaweza panga kwenda safari lakini ghafla tu unaamua kuahirisha halafu unasikia basi ulilopanga kusafiria limepata ajali. Au unajikuta tu unawaza kwenda sehemu fln na huko unaenda kukutana na bonge la bahati au dili la kazi. Hio fikra inayokusukuma kufanya kitu kinachokuletea manufaa bila kuwa na sababu yyt ya msingi waswahili tunaiita 'Machale' na kwa kizungu wanaita 'Instinct'

Sasa kwa muda mrefu nimekua nasoma makala nyingi kuhusiana na namna binadamu anavyofanya maamuzi na ni drives gani zinamsukuma mtu kufanya hayo maamuzi. Nikaja kugundua kwamba hayo yote yanaelezwa kwa kutumia principles za hesabu. Na ndipo nikaishia kukubali msemo fln unasema "INSTINCTS ARE MATHEMATICAL"


---> TUJIKUMBUSHE HILI KWANZA KUHUSU NAMNA BINADAMU ANAVYOFANYA MAAMUZI.
Maamuzi yote yanayofanya na binadamu ni lazima yapitie kwenye mfumo wa fahamu (Muunganiko wa Sensory organs, Nerves, Brain au Spinal Cord). Na hayo maamuzi yote binadamu anaweza kuyafanya akiwa kwenye state hizi tatu:-
1. CONSCIOUS (AKIWA NA FAHAMU)
2. SUB-CONSCIOUS (AKIWA NA NUSU FAHAMU)
3 UN-CONSCIOUS (AKIWA HANA FAHAMU)


Maamuzi mtu anayofanya akiwa na ufahamu kamili nadhan tunayafahamu, na yale akiwa hana kabisa ufahamu nadhan tunayafahamu pia (mfano kujigeuzageuza ukiwa umelala fofofo etc....). Mimi leo niko interested na haya maamuzi ambayo mtu anafanya au yale matendo ambayo mtu yanampata akiwa Sub-conscious.

Kuwa sub-conscious haimaanisha kuwa hujitambui. Mfano unaweza kuwa unakimbia na focus yako yoye ipo kwenye kukimbia lakini ni kawaida ya ubongo kuprocess information zozote zinazokuzunguka. So ubongo unaweza kuwa unafanya kazi subconsciously lakini ww focus yako ipo kwenye kukimbia tu, hili naomba lieleweke kwa sababu ndio kiini cha kitu nnachotaka kuzungumzia leo.


----> UHUSIANO ULIOPO KATI YA COMPUTER NA HUMAN BRAIN (AT DESIGN AND OPERATIONAL LEVEL)
Ubongo wa binadamu ni machine moja complex sana kuanzia namna inavyojifunza na namna inavyotunza data au taarifa mbalimbali na kuziprocess. And trust me maboresho yote watu wanayoyafanya kwenye computers na hizi all in one chips zime-base kwenye kuiga 'mimicing' namna ubongo unavyofanya kazi. Mambo kama Random Access Memory, Read only memory, data processing etc... yote yalikua inspired kutokana na ufanyaji kazi wa 'Human Brain', Ubongo

Sasa baada ya field ya computer science kukua watafiti baadhi wakaanza kujiuliza kwa nini hii machine (computer) tuloitengeneza na kuifanya iweze kukumbuka na kuprocess data tusiifanye iweze kujifunza kutokana na hizo data inazoziona? Na hicho ndicho kilichokua kimebaki katika harakati za kuiga namna ubongo unavyofanya kazi. Hillo swali ndilo limezalisha field za Machine Learning na Artificial Intelligence. Na field zote hzo deep down ni mahesabu ya ajabu sana kuwahi kufanywa kwenye ulimwengu huu ukiachana na yale ya Einstein na Nikola Tesla (Much respect).

Ubongo unajifunza kutokana na data inazopokea kutoka kwenye sensory organs. Ubongo wa mtoto mdg aliozaliwa tunaweza sema unakua empty coz hauna experience yyt. Mtoto akishika moto akaungua anajua hii haifai, na hio ni kwa sababu ubongo wake unajifunza kutokana na hicho kitendo na madhara yake. Hi ndio tunaiita 'Learning' kwa kimalikia (RIP). So tunaweza sema mtu anajifunza kutokana na experience lkn hio inategemea uwezo wa ubongo wake kujifunza. Hii inathibitishwa na mambo mbalimbali, mfano waswahili tunasema 'UTU UZIMA DAWA' Hii ni kwasababu mtu mzima anakua amepitia experiences nyingi hivo ubongo wake unakua umejifunza mambo mengi.

Na watafiti walivyoona hivo basi wakaamua kutengeneza hii field ya 'MACHINE LEARNING', ambayo lengo lake ni kufanya Machine (Computer) Iweze kujifunza kupitia Data Au Experience (tukilinganisha na ubongo). Na hii ufanyika kwa kupitisha Data nyingi sana kwenye algorithms mbalimbali ambazo hutafuta pattern na kisha kutengeneza models ambazo ndizo hutumika kufanya future decisions. Somo kuhusu undani wa hio kitu na process zake ni issue ya kuongelea siku nyingine. Leo naongelea namna Machale/ Instincts zinavyotengenezwa.


----> INSTINCTS / MACHALE (ZI)YANATENGENEZWAJE NDANI YA UBONGO? NA HESABU INAHUSIKANAJE HAPO?
Kama upo na mm hadi hapa basi nadhan umesoma nlivoelezea namna Machine Learning Inavofanyika. Kwa kurudia tu ni kwamba Data(Past experience) zinapitishwa kwenye 'Algorithms' (Mathematical decision making processes), Kisha hizo Algorithms hutumia very complex maths kugundua PATTERNS zilizopo ndani ya hizo data. Kisha hizo 'PATTERNS' hutumika kutengeneza MODELS ambazo hutumiwa na computer kufanya decision au kubashiri output in the future. Mfano computer inaweza pewa data za picha za wanawake thn inatengeneza patterns na kutumia hizo patterns kutengeneza model. Baadae computer itapewa picha random (ambayo haikuwepo awali) na kuulizwa ibashiri kama ni mwanamke au mwanamme. Sasa quality ya jibu inategemea na quality ya data zilizotumika wakati wa learning, hii iko hvohvo pia kwenye maisha yetu.

Kama umenielewa hapo juu basi process hiohio ndio hutumiwa na ubongo wa mwanadamu kutengeneza Machale/Instincts. Wewe ukiwa unafanya mambo yako mengine basi ubongo huwa unalearn 'sub-consciously' kutokana na mazingira uliopo, mambo unayosikia, vitu unavyofanya, vitu unavyoongea kwa kukurupuka na effect zake etc..... kisha ubongo wako unatumia hesabu zake kichwani kucreate pattern na kutengeneza decision making models ambazo sasa next time ukiwa unahitaji kufanya maamuzi fln na upo kwenye mazingira yanayofanana na your past experience (kpnd ubongo una-learn subconsciously bila ww kujua) hizo models zinakua-triggered na unajikuta unaamua tu bila kufikiria. Sasa ufasaha wa maamuzi hayo yanatokana na quality pamoja na quantity ya experience zako. Unaweza fanya maamuzi kwa machale na ukapata matokeo mabaya coz data/experience yako haitoshi lkn kwa wale wanaopata matokeo mazuri basi utakuta experience yao kwenye hilo jambo / field ni kubwa kiasi. Lakini hio learning yote inafanywa ww ukiwa hauna focus kwenye hilo jambo wakati huo na ndio maana wataalam wanaiita 'SUB-CONSCIOUS LEARNING', na kwa kuwa ww haukuwa na habari kpnd unajifunza(actually kpnd ubongo wako unajifunza) basi utaona ni bahati na kuita machale/instinct.

Hio haina tofauti sana na unaposhika kitu cha moto ukaungua then next time unaamua usikishike tena (CONSCIOUS LEARNING) kwa kuwa umejifunza, tofauti pekee ni kwamba kwenye kujenga instincts unakuwa umejifunza bila wewe kujua (SUB-CONSCIOUS LEARNING).


Ni hayo tu bosses, anyway kwa mwenye tatizo lolote ambalo anapenda kutatua kwa ufasaha zaidi kutumia Machine Learning, Artificial Intelligence au Data Analysis iwe kwenye biashara, product design, financial trading, etc...... anaweza kunitafuta tufanye kazi.




Peace.........
~ kali linux
Brother, sio mtalaam wa mambo ya computer lakini nimekuelewa sana. Wewe ni mwalimu mzuri sana. Umefafanua vizuri kabisa katika Lugha yetu adhimu ya kiswahili. Yaani naamini kabisa, ukinifundisha programing naelewa kabisaa....
Much Obliged.
 
Brother, sio mtalaam wa mambo ya computer lakini nimekuelewa sana. Wewe ni mwalimu mzuri sana. Umefafanua vizuri kabisa katika Lugha yetu adhimu ya kiswahili. Yaani naamini kabisa, ukinifundisha programing naelewa kabisaa....
Much Obliged.
Shukran mkuu.
 
Ni ngumu lakini inawezekana. Miaka 20 ilopita hamna mtu alietabili tech itafika hapa tulipo kwa sasa.

Kuna member mmoja kaongelea debate ya elon na jack ma. Nashauri uiangalie iko youtube, then sikiliza point za elon ndo utaona dunia inapoelekea na elon anakua na hofu sana kuhusu A.I coz speed ya maendeleo kwenye hii field ni kubwa mnoo, na ikiendelea hivo binadamu tutakua out-smarted kwenye kila kitu na hizi computers
Nmefuatilia sana mijadala ya namna hiyo.


Mimi naona kufananisha ubongo wa binadamu na matokeo ya ubongo wa binadamu ( computer ) ni kukosa maana.
 
Back
Top Bottom