Institute of finance management

Na waongo hawana ushahidi. Mbea anazungumza ukweli ila hajaruhusiwa tu.

ila wambea wa Jf wanaongea vya uongo na ushahid wanakua nao yan wamegubikwa na nguvu za giza...wambea wa humu ni tofauti na uwajuao
 
ila wambea wa Jf wanaongea vya uongo na ushahid wanakua nao yan wamegubikwa na nguvu za giza...wambea wa humu ni tofauti na uwajuao

Mbea ni mbea tu hata awe jf mradi anaushaidi huo ni ukweli sio umbea.
 
Mtu na akili zko hauwez kuacha udsm ama mzumb ama ardhi ukaend ifm vilaza na masalia wote wa shulen kwngu wali2pwa ifm tena 2nd choice

Mkuu umekosea!! Kama nataka kwenda kusomea medicine au kilimo na nna one nzuri ntaenda udsm na hiyo ardhi au mzumbe?
 
Mkuu umekosea!! Kama nataka kwenda kusomea medicine au kilimo na nna one nzuri ntaenda udsm na hiyo ardhi au mzumbe?

Sasa huko IFM hizo kozi zipo na hata hivyo vyuo unavyotaka kuchukua hizo kozi za medicine na kilimo hawachukui vilaza kama IFM.
 
Nimekupata vizuri xana ,thankx
 

ni ukweli kabisa nimepitisha hoja!
 
wajomba nahc mmekosa kujiamini.....ni kweli ifm wanachukua wa2 wengi lkn wanaomaliza pale ni wachache kama huamini muulize m2 yeyote aliyewah soma pale....wote wanaograduate na upper second au first class ifm ni cream kweli ndani ya vichwa vyao....vilaza wengi hudisco na wachache huruka na pass..... ifm ni bonge la chuo...mzk wake ni mnene sana
 
Ongeeni yote mkimaliza kitaa kinawasubiri... Wote mnaoponda ni sizitaki mbivu hizi mnabisha??? Kweli msomi ambaye anasoma degree anakaa na kuanza kuongelea chuo cha mtu mara wanafanya hivi mara vile kwa taarifa yenu IFM ni practical oriented sio theory tu lab kwa it na computer science zipo za kutosha library kubwa na kama mitihani ingekua pastpapers watu wasingekua wanadisco... Watu wanaanza 700 wanamaliza 60 ndo maana ajilani utasikia a graduate from IfM will be considered an advantage hata mseme semeni tuu ila mwisho wa siku nyie wenyewe mnatetemeka
 
Wakuu nina D 2 na C 1 kwenye matokeo ya form four, vipi nitakuwa nmetimiza vigezo vya kujiunga na IFM au?
 


"na kama mitihani ingekua pastpapers watu wasingekua wanadisco... Watu wanaanza 700 wanamaliza 60 ndo maana ajilani utasikia a graduate from IfM will be considered an advantage hata mseme semeni tuu ila mwisho wa siku nyie wenyewe mnatetemeka".
Ndugu hapo umechanganya madawa.kwani kutoka watu 700 hadi 60 unashangaa?je hapo 640 walikuwaje?,mimi nakaa na wanafunzi toka vyuo tofauti.kumeza karibu vyuo vyote wengi wao ndio jadi ndugu.alafu wanao disco ifm kwa kufeli ni wengi ambao wamevamia kazi halafu wanalegeza ndugu.wengi sana wanachukuliwa kizembe hapo ,wewe utakuta mtu kasoma hkl alafu anasoma accounts asipokaza ataliwa tu lasivyo awemzuli sana kutoka o level.
sasa wengiwao wanaokuja hapo wanakuja kama kuangukua hapo tu ndio maana wanaondoka.ingekuwa wamewachukua wote wapo vizuri alafu wakapungua hivyo basi ningesema kweli manawabana."ifm wanalazimisha kuwapunguza wanafunzi maana wanakuwa nao wengi sana kosa dogo lisilo la msingi sana wanamtimua ndio maana wengi wanadisco.mfano mdogo wangu alichelewesha kurudisha project wakambania eti.mpaka leo wanamzungusha kaamua afanye arrangement za kuanza tena.pia kwenye sentensi yako umesema graduate from ifm will be added advantege ni kweli kwasababu inamilikiwa na wizara ya fedha kwa hiyo lazima wizara ya fedha na department zake iwape kipaumbele hivi vyuo inavyovimiliki,lakini si wakati wote ni mara chache .
pia na kila chuo kina monopoly power yake mfano utakuta kampuni inataka mtu wa mass comm alafu inasema atakae toka saut atakuwa added advantage(sio lazima na anaweza asipate),na kutoka udsm ,law,economics,internat relatn,au kutoka sua mambo ya kilimo inatoa yenyewe tu,au mzumbe ,baf, development mgt na baadh ya course ambazo inatoa yenyewe tu
 


sio bure ww utakuwa ume disco aka umecheza lisebene
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…