juniour12
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 407
- 375
Habari zenu wakuu,Tafadhali naomba msaada wenu wa mawazo jinsi ya kuwa wakala wa Bima.
Ukianzia na taratibu zake mpaka kufikia kuwa Agent na pia gharama zake katika kulifanikisha hilo.
Pia ningependa kujuzwa na changamoto zake pindi ukiwa Agent na faida zake pia.
Nategemea msaada wenu GT.
Ukianzia na taratibu zake mpaka kufikia kuwa Agent na pia gharama zake katika kulifanikisha hilo.
Pia ningependa kujuzwa na changamoto zake pindi ukiwa Agent na faida zake pia.
Nategemea msaada wenu GT.